Tusipojua tunataka nini kwenye elimu yetu, tutakuja kupangiwa na watu wa nje

Mimi ukiniuliza mabadiliko kwenye elimu yetu, basi nitapendekeza Lugha ya Kiingereza itumike kufundishia elimu ya msingi hadi chuo kikuu.

Nakuunga mkono mkuu,sisi sio taifa kubwa na linalojitegemea kama China, Urusi sijui wapi.....tunahitaji Kingereza zaidi ya kiswahili..
 

Tunahitaji elimu ambayo ni environment-specific...tuangalie mazingira yetu yana nini/resources ndipo tutunge syllabus!...namaanisha tufundishe watoto fursa zilizopo kwenye mazingira yetu na jinsi ya kuzi exploit, wakimaliza wana confidence ya kuexplore opportunities(employment/self -employment), kwenye mazingira yaliyopo Tanzania...

Tunahitaji change kwenye syllabus ndio ila sio ku copy everything from the west, wao wana challenges zao kutokana na mazingira yao wanazojaribu kutafuta solutions., Tunachoweza kujifunza kwao ni jinsi wanavyotumia Education to solve challenges ndani ya jamii yao...

I believe Technology, English,ni masomo ambayo kila mtoto wa Tanzania afundishwe nayo tangia mdogo, sisi sio kisiwa every other country wanainvest in these two subjects, Technology inarahisisha mambo saves times and English ina facilitate communication between borders....Plus somo ambalo naona liongezwe ni Kilimo, we have large arable land as an asset...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…