NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Watu wa msalaba mwekundu( huduma ya kwanza) kimekua ni kichaka Cha kupotezea muda haswa pale timu inapokua inaongoza.
Nijuavyo Mimi na Kama Kuna mtu anajua zaidi atanisahihisha.
Huduma ya kwanza tafsri yake "ni huduma anayopewa mgonjwa kabla ya kupelekwa hospitali"
Lakini imekua tofauti katika viwanja vya mpira haswa katika ligi yetu hii inayosemekana kuwa ni ya Tano kwa ubora Africa.
Hii siyo Mara ya kwanza kuona imekua Kama mchezo Sasa wa kupotezea muda niliona katika mchezo wa IHEFU FC na YANGA watoa huduma wanambeba mchezaji wanatembea mwendo wa kinyonga ama bibi harusi na babu harusi
Nina uhakika kwa asilimia Mia watu wanaoingia uwanjani na machela hawana hiyo taaluma Bali ni kikundi Cha wahuni kinachopewa maelekezo maalum na watoa huduma ya kwanza wenye taaluma Yao hawezi kufanya upuuzi Kama huo.
Ligi inapoteza mvuto kwa upuuzi Kama huu tunaoiga kwa waarabu.
Nakumbuka mchezo wa Mbeya City ball boys walipoteza muda kwa kutorusha mipira TFF iliwaadhibu Mbeya City kwa huo upuuzi usiokuwa na mantiki na afya katika mpira wetu huu.
NALIA NGWENA nachukua fursa hii kuiomba Bodi ya ligi na TFF iliangalie hili suala kwa jicho la tatu ipo siku ataanguka mchezaji serious watoa huduma wataleta mzaha wanaouleta na kupelekea kifo Cha mchezaji.
KATAA WAHUNI KWENYE LIGI YETU.
Nijuavyo Mimi na Kama Kuna mtu anajua zaidi atanisahihisha.
Huduma ya kwanza tafsri yake "ni huduma anayopewa mgonjwa kabla ya kupelekwa hospitali"
Lakini imekua tofauti katika viwanja vya mpira haswa katika ligi yetu hii inayosemekana kuwa ni ya Tano kwa ubora Africa.
Hii siyo Mara ya kwanza kuona imekua Kama mchezo Sasa wa kupotezea muda niliona katika mchezo wa IHEFU FC na YANGA watoa huduma wanambeba mchezaji wanatembea mwendo wa kinyonga ama bibi harusi na babu harusi
Nina uhakika kwa asilimia Mia watu wanaoingia uwanjani na machela hawana hiyo taaluma Bali ni kikundi Cha wahuni kinachopewa maelekezo maalum na watoa huduma ya kwanza wenye taaluma Yao hawezi kufanya upuuzi Kama huo.
Ligi inapoteza mvuto kwa upuuzi Kama huu tunaoiga kwa waarabu.
Nakumbuka mchezo wa Mbeya City ball boys walipoteza muda kwa kutorusha mipira TFF iliwaadhibu Mbeya City kwa huo upuuzi usiokuwa na mantiki na afya katika mpira wetu huu.
NALIA NGWENA nachukua fursa hii kuiomba Bodi ya ligi na TFF iliangalie hili suala kwa jicho la tatu ipo siku ataanguka mchezaji serious watoa huduma wataleta mzaha wanaouleta na kupelekea kifo Cha mchezaji.
KATAA WAHUNI KWENYE LIGI YETU.