Tusipokemea upuuzi unaofanywa na watoa huduma ya kwanza ndani ya uwanja, ipo siku tutapoteza mchezaji huku tukichekelea.

Tusipokemea upuuzi unaofanywa na watoa huduma ya kwanza ndani ya uwanja, ipo siku tutapoteza mchezaji huku tukichekelea.

Watu wa msalaba mwekundu( huduma ya kwanza) kimekua ni kichaka Cha kupotezea muda haswa pale timu inapokua inaongoza.

Nijuavyo Mimi na Kama Kuna mtu anajua zaidi atanisahihisha.
Huduma ya kwanza tafsri yake "ni huduma anayopewa mgonjwa kabla ya kupelekwa hospitali"

Lakini imekua tofauti katika viwanja vya mpira haswa katika ligi yetu hii inayosemekana kuwa ni ya Tano kwa ubora Africa.

Hii siyo Mara ya kwanza kuona imekua Kama mchezo Sasa wa kupotezea muda niliona katika mchezo wa IHEFU FC na YANGA watoa huduma wanambeba mchezaji wanatembea mwendo wa kinyonga ama bibi harusi na babu harusi

Nina uhakika kwa asilimia Mia watu wanaoingia uwanjani na machela hawana hiyo taaluma Bali ni kikundi Cha wahuni kinachopewa maelekezo maalum na watoa huduma ya kwanza wenye taaluma Yao hawezi kufanya upuuzi Kama huo.

Ligi inapoteza mvuto kwa upuuzi Kama huu tunaoiga kwa waarabu.

Nakumbuka mchezo wa Mbeya City ball boys walipoteza muda kwa kutorusha mipira TFF iliwaadhibu Mbeya City kwa huo upuuzi usiokuwa na mantiki na afya katika mpira wetu huu.

NALIA NGWENA nachukua fursa hii kuiomba Bodi ya ligi na TFF iliangalie hili suala kwa jicho la tatu ipo siku ataanguka mchezaji serious watoa huduma wataleta mzaha wanaouleta na kupelekea kifo Cha mchezaji.

KATAA WAHUNI KWENYE LIGI YETU.
Rafiki yangu NALIA NGWENA usianze kujihami mtashinda leo bwana .

Oyaa nakumbuka ulisema huko vizuri kwenye ngumi vipi nakupataje maana now nina hela nataka niwe fit maana kuna watoto wa mtaa wameanza kujipanga kuniibia bro
 
Hilo nakubaliana na wewe japo mleta hoja ana hoja ya Msingi Sana. Tukio kama Hilo limetokea tena Mechi ya mwisho ya Kitayose (Tabora Utd) dhidi ya Dodoma Jiji. Hii Sasa ilisababishwa na madaktari wa Tabora Utd. Mchezaji kalalamika kaumia wanatafuta sehemu itakayokuwa mbali kumfikia. Huu ni upuuzi wa Waamuzi wenyewe. Wakifungiwa wanapatikana watetezi wanarudishwa na ujinga wao. Unaona kabisa waliorudi wamerudi na ujinga ule ule walioondoka nao.
Kweli kabisa Mkuu.
 
Matusi si sehemu ya soka lakini kuna watu wanastahili kutukanwa. Hoja uliyoleta ni ya maana Sana lakini kuna Misukule iliyokunywa uji wa mgonjwa wao ni Simba na Yanga Hadi kwenye ndoto.
SHABIKI LA SIMBA HILO NA NDIYO MAANA UKIYAPA MATUSI NDIYO YANAFURAHI.
 
Watu wa msalaba mwekundu( huduma ya kwanza) kimekua ni kichaka Cha kupotezea muda haswa pale timu inapokua inaongoza.

Nijuavyo Mimi na Kama Kuna mtu anajua zaidi atanisahihisha.
Huduma ya kwanza tafsri yake "ni huduma anayopewa mgonjwa kabla ya kupelekwa hospitali"

Lakini imekua tofauti katika viwanja vya mpira haswa katika ligi yetu hii inayosemekana kuwa ni ya Tano kwa ubora Africa.

Hii siyo Mara ya kwanza kuona imekua Kama mchezo Sasa wa kupotezea muda niliona katika mchezo wa IHEFU FC na YANGA watoa huduma wanambeba mchezaji wanatembea mwendo wa kinyonga ama bibi harusi na babu harusi

Nina uhakika kwa asilimia Mia watu wanaoingia uwanjani na machela hawana hiyo taaluma Bali ni kikundi Cha wahuni kinachopewa maelekezo maalum na watoa huduma ya kwanza wenye taaluma Yao hawezi kufanya upuuzi Kama huo.

Ligi inapoteza mvuto kwa upuuzi Kama huu tunaoiga kwa waarabu.

Nakumbuka mchezo wa Mbeya City ball boys walipoteza muda kwa kutorusha mipira TFF iliwaadhibu Mbeya City kwa huo upuuzi usiokuwa na mantiki na afya katika mpira wetu huu.

NALIA NGWENA nachukua fursa hii kuiomba Bodi ya ligi na TFF iliangalie hili suala kwa jicho la tatu ipo siku ataanguka mchezaji serious watoa huduma wataleta mzaha wanaouleta na kupelekea kifo Cha mchezaji.

KATAA WAHUNI KWENYE LIGI YETU.
Kabisa Mkuu. Ligi yetu hivi Sasa inafuatiliwa na mataifa ya jirani na mitandaoni. Sasa huu upuuzi wakiuona twaonekanaje?

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna kitu TZ inafanya kwa ufasaha labda ufisadi tu.
 
Watu wa msalaba mwekundu( huduma ya kwanza) kimekua ni kichaka Cha kupotezea muda haswa pale timu inapokua inaongoza.

Nijuavyo Mimi na Kama Kuna mtu anajua zaidi atanisahihisha.
Huduma ya kwanza tafsri yake "ni huduma anayopewa mgonjwa kabla ya kupelekwa hospitali"

Lakini imekua tofauti katika viwanja vya mpira haswa katika ligi yetu hii inayosemekana kuwa ni ya Tano kwa ubora Africa.

Hii siyo Mara ya kwanza kuona imekua Kama mchezo Sasa wa kupotezea muda niliona katika mchezo wa IHEFU FC na YANGA watoa huduma wanambeba mchezaji wanatembea mwendo wa kinyonga ama bibi harusi na babu harusi

Nina uhakika kwa asilimia Mia watu wanaoingia uwanjani na machela hawana hiyo taaluma Bali ni kikundi Cha wahuni kinachopewa maelekezo maalum na watoa huduma ya kwanza wenye taaluma Yao hawezi kufanya upuuzi Kama huo.

Ligi inapoteza mvuto kwa upuuzi Kama huu tunaoiga kwa waarabu.

Nakumbuka mchezo wa Mbeya City ball boys walipoteza muda kwa kutorusha mipira TFF iliwaadhibu Mbeya City kwa huo upuuzi usiokuwa na mantiki na afya katika mpira wetu huu.

NALIA NGWENA nachukua fursa hii kuiomba Bodi ya ligi na TFF iliangalie hili suala kwa jicho la tatu ipo siku ataanguka mchezaji serious watoa huduma wataleta mzaha wanaouleta na kupelekea kifo Cha mchezaji.

KATAA WAHUNI KWENYE LIGI YETU.
Kweli kabisa.
 
Watu wa msalaba mwekundu( huduma ya kwanza) kimekua ni kichaka Cha kupotezea muda haswa pale timu inapokua inaongoza.

Nijuavyo Mimi na Kama Kuna mtu anajua zaidi atanisahihisha.
Huduma ya kwanza tafsri yake "ni huduma anayopewa mgonjwa kabla ya kupelekwa hospitali"

Lakini imekua tofauti katika viwanja vya mpira haswa katika ligi yetu hii inayosemekana kuwa ni ya Tano kwa ubora Africa.

Hii siyo Mara ya kwanza kuona imekua Kama mchezo Sasa wa kupotezea muda niliona katika mchezo wa IHEFU FC na YANGA watoa huduma wanambeba mchezaji wanatembea mwendo wa kinyonga ama bibi harusi na babu harusi

Nina uhakika kwa asilimia Mia watu wanaoingia uwanjani na machela hawana hiyo taaluma Bali ni kikundi Cha wahuni kinachopewa maelekezo maalum na watoa huduma ya kwanza wenye taaluma Yao hawezi kufanya upuuzi Kama huo.

Ligi inapoteza mvuto kwa upuuzi Kama huu tunaoiga kwa waarabu.

Nakumbuka mchezo wa Mbeya City ball boys walipoteza muda kwa kutorusha mipira TFF iliwaadhibu Mbeya City kwa huo upuuzi usiokuwa na mantiki na afya katika mpira wetu huu.

NALIA NGWENA nachukua fursa hii kuiomba Bodi ya ligi na TFF iliangalie hili suala kwa jicho la tatu ipo siku ataanguka mchezaji serious watoa huduma wataleta mzaha wanaouleta na kupelekea kifo Cha mchezaji.

KATAA WAHUNI KWENYE LIGI YETU.
Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kama wale wahuni waliovaa vile vizibao vyekundu kwenye ile mechi ya Ihefu dhidi ya Yanga walikuwa ni watoa huduma ya kwanza.

Na kama ulivyosema. Iwapo wahuni kama wale ndiyo watapewa mchongo wa kuhudumia wachezaji uwanjani, badala ya wataalamu! basi kuna siku yatakuja kutokea maafa uwanjani.


Binafsi nilihuzunishwa sana na kile kilichokuwa kinaendelea. Mchezaji anatolewa huku akiwa amekaa zake comfortable kwenye machela! Halafu waliombeba pasipo hata chembe ya aibu, wanatembea kwa kunyata!

Na mwamuzi wa mchezo naye eti anaongeza dakika 6 pekee za kumaliza mchezo!!
 
Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kama wale wahuni waliovaa vile vizibao vyekundu kwenye ile mechi ya Ihefu dhidi ya Yanga walikuwa ni watoa huduma ya kwanza.

Na kama ulivyosema. Iwapo wahuni kama wale ndiyo watapewa mchongo wa kuhudumia wachezaji uwanjani, badala ya wataalamu! basi kuna siku yatakuja kutokea maafa uwanjani.

Binafsi nilihuzunishwa sana na kile kilichokuwa kinaendelea. Mchezaji anatolewa huku akiwa amekaa zake comfortable kwenye machela! Halafu waliombeba pasipo hata chembe ya aibu, wanatembea kwa kunyata!

Na mwamuzi wa mchezo naye eti anaongeza dakika 6 pekee za kumaliza mchezo!!
WAHUNI TU WALE MKUU.
 
TFF WAMEMPIGA FAINI KOCHA WA IHEFU KWA KUSHAWISHI MAOFISA WANAOTOA HUDUMA YA KWANZA KUCHELEWA KUINGIA UWANJANI NA KUTOKA.
IMG-20231019-WA0019.jpg
 
Back
Top Bottom