mavya
Member
- Dec 24, 2021
- 31
- 58
Habari wana Jamvi? Naomba kuleta kwenu mada hii tuijadili kwa kina na weledi. Nafikiri tunaofatilia mgogoro wa Mashariki ya congo tunalikujifunza na ikiwezekana kuliangalia kwa jicho tatau.
1. Mgogoro wa DRC unachochewa na Watusi walioenda Mashariki ya Congo kama wakimbizi lakini leo wanadai Mashariki ya Congo ni yao.
Tanzania tulipokea wakimbizi kutoka Rwanda miaka ya 1958 na 59 na wengine tuliwapokea miaka ya 1994 baada ya genocide wengi wao tuliowapokea ni hawa hawa watusi wanaoivuruga DRC je sisi miaka 50 ijayo tutakuwa salama? Maana watu hawa wamezagaa kila kona ya Nchi hii na wengine wameingia kwenye mifumo ya uchumi kwa mgongo wa uwekezaji na wana pesa za kuhonga kila wanakotaka. Je watu hawa wana agenda gani?
2. Inasemekana watu wakati wanapewa uraia wengine waliukataa uraia wa tz lakini baada ya kurudi kwao wakaona maisha ni magumj wanarudi kinyume nyume wakiwa na mitaji ya kufanya biashara je mitaji hii wanapewa na akina nani? Na lengo lao ni lipi? Na kwa nini waliukataa uraia wa TZ na leo wanarudi kivingine?
3. Inasemekena hawa watu wana coordination ndefu sana kila kukicha wanaitana kuja huku kwetu baada ya kutimuliwa mashariki ya DRC wamekimbilia TZ. Je, Idara ya uhamiaji inawafatilia inavyotakiwa?
1. Mgogoro wa DRC unachochewa na Watusi walioenda Mashariki ya Congo kama wakimbizi lakini leo wanadai Mashariki ya Congo ni yao.
Tanzania tulipokea wakimbizi kutoka Rwanda miaka ya 1958 na 59 na wengine tuliwapokea miaka ya 1994 baada ya genocide wengi wao tuliowapokea ni hawa hawa watusi wanaoivuruga DRC je sisi miaka 50 ijayo tutakuwa salama? Maana watu hawa wamezagaa kila kona ya Nchi hii na wengine wameingia kwenye mifumo ya uchumi kwa mgongo wa uwekezaji na wana pesa za kuhonga kila wanakotaka. Je watu hawa wana agenda gani?
2. Inasemekana watu wakati wanapewa uraia wengine waliukataa uraia wa tz lakini baada ya kurudi kwao wakaona maisha ni magumj wanarudi kinyume nyume wakiwa na mitaji ya kufanya biashara je mitaji hii wanapewa na akina nani? Na lengo lao ni lipi? Na kwa nini waliukataa uraia wa TZ na leo wanarudi kivingine?
3. Inasemekena hawa watu wana coordination ndefu sana kila kukicha wanaitana kuja huku kwetu baada ya kutimuliwa mashariki ya DRC wamekimbilia TZ. Je, Idara ya uhamiaji inawafatilia inavyotakiwa?