Tusipotoshe: Meli za nafaka zilizoondoka jana zilikuwa ndani ya eneo la Uturuki

Tusipotoshe: Meli za nafaka zilizoondoka jana zilikuwa ndani ya eneo la Uturuki

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759
Quote:
"On Monday, the Joint Coordination Centre (JCC) in Istanbul said the UN, Türkiye and Ukraine had agreed on a movement plan for 16 vessels that are located in Türkiye's territorial waters despite Russia’s decision to suspend the deal."

Tuache upotoshaji wa Simba na Yanga hasa kwa Pro West na Pro East kwamba Uturuki na UN wamezitoa meli hizo kibabe. Meli zilizoruhusiwa jana kwenye Black Sea zilikuwa ndani ya mipaka ya Uturuki ambapo Russia hawezi shambulia.

Uturuki hawezi kufanya escort ya kijeshi kwa bidhaa ndani ya Ukraine ilhali Ukraine wapo vitani.

Ndiyo maana hiyo agreement ilikuwa lazima ihusishe Russia kuifanya Corridor upande wa Ukraine kuwa salama. Tujiulize bandari ya Odessa ikishushiwa makombora Turkey au UN watafanya nini ilhali Ukraine ipo vitani? Vipi routes za kwenda Odessa port kutoka ndani ya ukraine?

Au tujiulize kwanini Biden aliwaka jana baada ya Urusi kujiondoa kwenye agreement? Si atume 'US Navy' pale Odessa ku 'escort'. Urusi ameshasema kuwa Ukraine anapanga mashambulizi katika hiyo Corridor, ikiwemo kuingiza silaha. Tunategemea nini hapo bandarini?
 
Huwa kila siku mnamsakama MK254 kwamba anaanzisha mada nyingi za hii vita na akiegemea upande msioupenda.Lakini naona Pro Russia mkiongozwa na wewe na kuna wenzako wawili ni kama mmeamua kushindania medali ya kuanzisha vitopic vingi na vidogo vidogo vya hii vita.Tayari kuna mada inayohusiana na hiki ulichokiandika hapa,kwanini usinge enda kuweka huu ufafanuzi kule ikaleta maana zaidi.
 
Huwa kila siku mnamsakama MK254 kwamba anaanzisha mada nyingi za hii vita na akiegemea upande msioupenda.Lakini naona Pro Russia mkiongozwa na wewe na kuna wenzako wawili ni kama mmeamua kushindania medali ya kuanzisha vitopic vingi na vidogo vidogo vya hii vita.Tayari kuna mada inayohusiana na hiki ulichokiandika hapa,kwanini usinge enda kuweka huu ufafanuzi kule ikaleta maana zaidi.

Sijui kwa nini?.

Halafu sina wenzangu na mimi si Pro west wala Pro East. Point of correction
 
Sijui kwa nini?.

Halafu sina wenzangu na mimi si Pro west wala Pro East. Point of correction
Mada unazoanzisha zinakusuta,kukataa kwako ni aina nyingine ya unafiki wa kiwango cha juu kabisa.Punguza sasa kuanzisha vitopic vidogo vidogo,kuna topic ilikuwepo tayari,unganisha kule tupate mwendelezo mzuri.
 
Mada unazoanzisha zinakusuta,kukataa kwako ni aina nyingine ya unafiki wa kiwango cha juu kabisa.Punguza sasa kuanzisha vitopic vidogo vidogo,kuna topic ilikuwepo tayari,unganisha kule tupate mwendelezo mzuri.
Sawa Moderator
 
Back
Top Bottom