Tusipotoshe umma: Hakuna aliyetengwa na hayati Magufuli, bali alikataa uhuni wa Ki-CCM ambao haufai kwa manufaa ya taifa

Team msoga wakiamka unalo... maana kila kinachoendelea kinaniridhisha JPM alirestishwa. Sio bahati mbaya hii. Namshukuru Mangula kunawa mikono.
Mtahangaika sana kwa kupiga ramli na kusahau kuwa kufa ameumbiwa mwanadamu
 
Sukuma gang sasa zamu yenu kulimia meno. Kwani akina Makonda, Sabaya na huyo marehemu walikuwa hawapori mali za watu na kutapanya kodi za walalahoi.

Nae alikuwa jizi tu kama mijizi mingine..
 
Hawa ndio walifanya sisi wana CCM tusivae sare zetu mtaani tukionekana wahuni kama wao. Sasa wamerudi tena. Sare yangu napigia deki.
 
Sasa anaepotosha ni nani? Kisukari lazima kipande mwaka huu
 
Wote wapo ndani ya nyumba hakuna namna
 
Si ww na hata wengine hakuna anaejua ukweli. Sana utaishia kuhis na theory za uwongo na kweli.
Sitetei ila marehem aachwe kama alivyo apumzikea
Doubt makes one asks questions and to find new answers.
 
Hili kundi ni la kinafiki sana, waoneni kwanza.
 
Sema 2015 tulipata rais wa hovyo sana. Tunashukuru aliomba tumuombee tukaomba akapigwa hadi futi 6 chini. Huwezi kua na kiongozi mtesi, anaye sapoti wengine wapitie mateso ata ikiwa kifo ili yeye abaki na sifa zake.
 
Wenye akili tu, jifunge kupitia comments na oima akili za watu kujua wapo radhi kwa kitu gani ili maisha yasonge.

Sawa na maandiko ...
 
Na sisi tunakushangaa ww kichwa maandazi
Basi ikawa Asubuhi ikawa jioni jiwe akaenda chini, wenyewe wakachukua chama Chao na nchi inasonga, haya Sasa vichwa vitumbua naona mnabwabwaja mdomo tu. Ila ndo Ivyo ccm inawenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…