Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
- Thread starter
- #41
We mpuuzi unajulikana kwa upuuzi wako.Hakuna mbaguzi na chuki kama mwendazake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mpuuzi unajulikana kwa upuuzi wako.Hakuna mbaguzi na chuki kama mwendazake
Kama imekuuma nawe kanywe sumu umfuateWe mpuuzi unajulikana kwa upuuzi wako.
UnapigwaKama imekuuma nawe kanywe sumu umfuate
Naona kuna propaganda mnaeneza mitandaoni kuwa mlisaidia CCM kupata ushindi 2015 na baada ya uchaguzi mkuu hayati JPM alipokamata madaraka aliwatenga na kuwaona hamfai wakati mlimuweka madarakani.
Acheni kupindisha maneno. Kila mtu anajua mlishazoea masuala ya kihuni ya kupora mali za umma kama mlivyofanya wakati ule kupitia Epa, Escrow, Kagoda na ufisadi mwingi bila aibu.
Mlitaka hayati Magufuli awakubalie uhuni wenu kisa tu mlifanya kampeni basi mfanye ufisadi mnavyotaka?
Sasa hivi kila mtanzania anawafamu vizuri na ndio maana mnapanga safu yenu ili mfanye uhuni wenu vizuri.
Mimi najua kabisa bwa mdogo Tindo unakubali kabisa kuwa JPM alijitoa kwa ajili ya taifa letu. Japokuwa malalamiko yako ni juu ya mapungufu yake ambayo sio kama wewe unavyoelezea.Msoga line ni wezi wenye soni, lakini sukuma gang ni wezi wenye kiburi cha madaraka, watekaji na mabingwa wa siasa za kihayawani. Hao Msoga line walikuwa ni wezi waliokubali challenge, lakini sukuma gang waliendesha siasa za kikatili na hawakukubali kukosolewa. Sisi ni umma na uhayawani wote wa sukuma gang chini ya yule kiongozi muovu tuliuona.
Tungeingia kwenye kundi la Yemen, Somalia, Afghanistan na nchi zilizofeli kama hizoMbona mnahangaika sana...CCM ni Ile Ile Hawa walifanya uhuni ule ,Magufuli naye akaanzisha wa aina yake...udikteta,uongizi wa kiulaghai,mauaji na mateso ya watu wenye mawazo mbadala,one man show kwenye maamuzi ya Msingi na mmaslahi Kwa Taifa ....Alikuwa na Vision ya hovyo Kabisa!
Sijui angefikisha miaka 5 inhekuwaje!?
Sabaya na Makonda mifano, walikuwa vijana pendwa wa marehemu, alifumbia macho uovu wao wote, walifanya ujambazi kufuru!Msoga line ni wezi wenye soni, lakini sukuma gang ni wezi wenye kiburi cha madaraka, watekaji na mabingwa wa siasa za kihayawani. Hao Msoga line walikuwa ni wezi waliokubali challenge, lakini sukuma gang waliendesha siasa za kikatili na hawakukubali kukosolewa. Sisi ni umma na uhayawani wote wa sukuma gang chini ya yule kiongozi muovu tuliuona.
Utajipa pressure bure, ufisadi ganiNaona kuna propaganda mnaeneza mitandaoni kuwa mlisaidia CCM kupata ushindi 2015 na baada ya uchaguzi mkuu hayati JPM alipokamata madaraka aliwatenga na kuwaona hamfai wakati mlimuweka madarakani.
Acheni kupindisha maneno. Kila mtu anajua mlishazoea masuala ya kihuni ya kupora mali za umma kama mlivyofanya wakati ule kupitia Epa, Escrow, Kagoda na ufisadi mwingi bila aibu.
Mlitaka hayati Magufuli awakubalie uhuni wenu kisa tu mlifanya kampeni basi mfanye ufisadi mnavyotaka?
Sasa hivi kila mtanzania anawafamu vizuri na ndio maana mnapanga safu yenu ili mfanye uhuni wenu vizuri.
nashukuru hawa jamaa kurudi yaani sasa chama kinapendeza sana,kilichobaki ni kujenga nchi yetu ndugu zanguNaona kuna propaganda mnaeneza mitandaoni kuwa mlisaidia CCM kupata ushindi 2015 na baada ya uchaguzi mkuu hayati JPM alipokamata madaraka aliwatenga na kuwaona hamfai wakati mlimuweka madarakani.
Acheni kupindisha maneno. Kila mtu anajua mlishazoea masuala ya kihuni ya kupora mali za umma kama mlivyofanya wakati ule kupitia Epa, Escrow, Kagoda na ufisadi mwingi bila aibu.
Mlitaka hayati Magufuli awakubalie uhuni wenu kisa tu mlifanya kampeni basi mfanye ufisadi mnavyotaka?
Sasa hivi kila mtanzania anawafamu vizuri na ndio maana mnapanga safu yenu ili mfanye uhuni wenu vizuri.
I concur with your viewTeam msoga wakiamka unalo... maana kila kinachoendelea kinaniridhisha JPM alirestishwa. Sio bahati mbaya hii. Namshukuru Mangula kunawa mikono.
kunywa maji ya uvuguvugu mkuu kisha upumzike kivulini upigwe na upepo kidogoPicha ya hao jamaa watatu waliofaa nguo za kijani nimeiona roho kama imeshituka!
Wahuni Hawa wali jaribu kila njia mpaka kumlisha sumu Mangulla lakini walishindwa; sasa ameondoka amewaachia wenyewe walogane!Team msoga wakiamka unalo... maana kila kinachoendelea kinaniridhisha JPM alirestishwa. Sio bahati mbaya hii. Namshukuru Mangula kunawa mikono.
Naona kuna propaganda mnaeneza mitandaoni kuwa mlisaidia CCM kupata ushindi 2015 na baada ya uchaguzi mkuu hayati JPM alipokamata madaraka aliwatenga na kuwaona hamfai wakati mlimuweka madarakani.
Acheni kupindisha maneno. Kila mtu anajua mlishazoea masuala ya kihuni ya kupora mali za umma kama mlivyofanya wakati ule kupitia Epa, Escrow, Kagoda na ufisadi mwingi bila aibu.
Mlitaka hayati Magufuli awakubalie uhuni wenu kisa tu mlifanya kampeni basi mfanye ufisadi mnavyotaka?
Sasa hivi kila mtanzania anawafamu vizuri na ndio maana mnapanga safu yenu ili mfanye uhuni wenu vizuri.
Ivi unaakili kwel MkuuUnalo mwaka huu. Acha kujiumiza bure dogo. Nao ni watanzania. Hawawezi kuwa wahuni kwa kuwa tu wewe umesema hivyo.
Alikua na vision ya hovyo kwa familia yako bwashee mliofoji vyeti!Mbona mnahangaika sana...CCM ni Ile Ile Hawa walifanya uhuni ule ,Magufuli naye akaanzisha wa aina yake...udikteta,uongizi wa kiulaghai,mauaji na mateso ya watu wenye mawazo mbadala,one man show kwenye maamuzi ya Msingi na mmaslahi Kwa Taifa ....Alikuwa na Vision ya hovyo Kabisa!
Sijui angefikisha miaka 5 inhekuwaje!?
Kwa hiyo kama alirestishwa mama yupo ndani ya mpango huo! Au mimi ndio sielewi?Team msoga wakiamka unalo... maana kila kinachoendelea kinaniridhisha JPM alirestishwa. Sio bahati mbaya hii. Namshukuru Mangula kunawa mikono.