Tusipotoshe umma: Hakuna aliyetengwa na hayati Magufuli, bali alikataa uhuni wa Ki-CCM ambao haufai kwa manufaa ya taifa

Tusipotoshe umma: Hakuna aliyetengwa na hayati Magufuli, bali alikataa uhuni wa Ki-CCM ambao haufai kwa manufaa ya taifa

Haya majamaa huwaga yakianza kuparurana mimi hukaa kimyaaaaaa , maana nilishasema mengi hayajui yanaamini nini , yanageuzwa tu, twende huku , haya twende kule sawa . kimsingi acha wafu wazikane
 
Naona kuna propaganda mnaeneza mitandaoni kuwa mlisaidia CCM kupata ushindi 2015 na baada ya uchaguzi mkuu hayati JPM alipokamata madaraka aliwatenga na kuwaona hamfai wakati mlimuweka madarakani.

Acheni kupindisha maneno. Kila mtu anajua mlishazoea masuala ya kihuni ya kupora mali za umma kama mlivyofanya wakati ule kupitia Epa, Escrow, Kagoda na ufisadi mwingi bila aibu.

Mlitaka hayati Magufuli awakubalie uhuni wenu kisa tu mlifanya kampeni basi mfanye ufisadi mnavyotaka?

Sasa hivi kila mtanzania anawafamu vizuri na ndio maana mnapanga safu yenu ili mfanye uhuni wenu vizuri.


Msoga line ni wezi wenye soni, lakini sukuma gang ni wezi wenye kiburi cha madaraka, watekaji na mabingwa wa siasa za kihayawani.

Hao Msoga line walikuwa ni wezi waliokubali challenge, lakini sukuma gang waliendesha siasa za kikatili na hawakukubali kukosolewa.

Sisi ni umma na uhayawani wote wa sukuma gang chini ya yule kiongozi muovu tuliuona.
 
Msoga line ni wezi wenye soni, lakini sukuma gang ni wezi wenye kiburi cha madaraka, watekaji na mabingwa wa siasa za kihayawani. Hao Msoga line walikuwa ni wezi waliokubali challenge, lakini sukuma gang waliendesha siasa za kikatili na hawakukubali kukosolewa. Sisi ni umma na uhayawani wote wa sukuma gang chini ya yule kiongozi muovu tuliuona.
Mimi najua kabisa bwa mdogo Tindo unakubali kabisa kuwa JPM alijitoa kwa ajili ya taifa letu. Japokuwa malalamiko yako ni juu ya mapungufu yake ambayo sio kama wewe unavyoelezea.
 
Mbona mnahangaika sana...CCM ni Ile Ile Hawa walifanya uhuni ule ,Magufuli naye akaanzisha wa aina yake...udikteta,uongizi wa kiulaghai,mauaji na mateso ya watu wenye mawazo mbadala,one man show kwenye maamuzi ya Msingi na mmaslahi Kwa Taifa ....Alikuwa na Vision ya hovyo Kabisa!
Sijui angefikisha miaka 5 inhekuwaje!?
Tungeingia kwenye kundi la Yemen, Somalia, Afghanistan na nchi zilizofeli kama hizo
 
Msoga line ni wezi wenye soni, lakini sukuma gang ni wezi wenye kiburi cha madaraka, watekaji na mabingwa wa siasa za kihayawani. Hao Msoga line walikuwa ni wezi waliokubali challenge, lakini sukuma gang waliendesha siasa za kikatili na hawakukubali kukosolewa. Sisi ni umma na uhayawani wote wa sukuma gang chini ya yule kiongozi muovu tuliuona.
Sabaya na Makonda mifano, walikuwa vijana pendwa wa marehemu, alifumbia macho uovu wao wote, walifanya ujambazi kufuru!

Leo hii hii mihuni iliyobaki inataka kutuaminisha eti January ni mbaya kuliko Sabaya/Makonda! Kwanza bila Kinana huyo mwenzao asingepata huo urais, hii mijamaa hata shukrani haina! Kazi iendelee mpaka 2030!!

Na Kinana ameshatangaza huko anataka HAKI irudi, hawa wahuni wa Magu wakisikia neno HAKI Nya zinawagonga
 
Naona kuna propaganda mnaeneza mitandaoni kuwa mlisaidia CCM kupata ushindi 2015 na baada ya uchaguzi mkuu hayati JPM alipokamata madaraka aliwatenga na kuwaona hamfai wakati mlimuweka madarakani.

Acheni kupindisha maneno. Kila mtu anajua mlishazoea masuala ya kihuni ya kupora mali za umma kama mlivyofanya wakati ule kupitia Epa, Escrow, Kagoda na ufisadi mwingi bila aibu.

Mlitaka hayati Magufuli awakubalie uhuni wenu kisa tu mlifanya kampeni basi mfanye ufisadi mnavyotaka?

Sasa hivi kila mtanzania anawafamu vizuri na ndio maana mnapanga safu yenu ili mfanye uhuni wenu vizuri.

Utajipa pressure bure, ufisadi gani
 
Kiongozi vs Lipaka😁😁😁
 
Naona kuna propaganda mnaeneza mitandaoni kuwa mlisaidia CCM kupata ushindi 2015 na baada ya uchaguzi mkuu hayati JPM alipokamata madaraka aliwatenga na kuwaona hamfai wakati mlimuweka madarakani.

Acheni kupindisha maneno. Kila mtu anajua mlishazoea masuala ya kihuni ya kupora mali za umma kama mlivyofanya wakati ule kupitia Epa, Escrow, Kagoda na ufisadi mwingi bila aibu.

Mlitaka hayati Magufuli awakubalie uhuni wenu kisa tu mlifanya kampeni basi mfanye ufisadi mnavyotaka?

Sasa hivi kila mtanzania anawafamu vizuri na ndio maana mnapanga safu yenu ili mfanye uhuni wenu vizuri.

nashukuru hawa jamaa kurudi yaani sasa chama kinapendeza sana,kilichobaki ni kujenga nchi yetu ndugu zangu
 
Mbunge anaondoka CDM kwa hila anakuja CCM afu anapita bila kupingwa kugombea jimbo Ubunge hilo hilo yaani hakuna kura za maoni ndani ya chama - ukiuliza eti Chama kimeamua huo ni mkakati - uongozi gani huo ?
 
Team msoga wakiamka unalo... maana kila kinachoendelea kinaniridhisha JPM alirestishwa. Sio bahati mbaya hii. Namshukuru Mangula kunawa mikono.
Wahuni Hawa wali jaribu kila njia mpaka kumlisha sumu Mangulla lakini walishindwa; sasa ameondoka amewaachia wenyewe walogane!
 
ndio maana dhiki na mateso na ukata wa maisha unawapata watanzani kwa sababu ya midomo yao ubishi mwingi na ujuaji mwingi. mnaambiwa hao makufuli aliwatoa kwa uhuni wao nyinyi mnabiisha
 
Naona kuna propaganda mnaeneza mitandaoni kuwa mlisaidia CCM kupata ushindi 2015 na baada ya uchaguzi mkuu hayati JPM alipokamata madaraka aliwatenga na kuwaona hamfai wakati mlimuweka madarakani.

Acheni kupindisha maneno. Kila mtu anajua mlishazoea masuala ya kihuni ya kupora mali za umma kama mlivyofanya wakati ule kupitia Epa, Escrow, Kagoda na ufisadi mwingi bila aibu.

Mlitaka hayati Magufuli awakubalie uhuni wenu kisa tu mlifanya kampeni basi mfanye ufisadi mnavyotaka?

Sasa hivi kila mtanzania anawafamu vizuri na ndio maana mnapanga safu yenu ili mfanye uhuni wenu vizuri.


Recycling wale wale!!!!
 
Mbona mnahangaika sana...CCM ni Ile Ile Hawa walifanya uhuni ule ,Magufuli naye akaanzisha wa aina yake...udikteta,uongizi wa kiulaghai,mauaji na mateso ya watu wenye mawazo mbadala,one man show kwenye maamuzi ya Msingi na mmaslahi Kwa Taifa ....Alikuwa na Vision ya hovyo Kabisa!
Sijui angefikisha miaka 5 inhekuwaje!?
Alikua na vision ya hovyo kwa familia yako bwashee mliofoji vyeti!
 
Team msoga wakiamka unalo... maana kila kinachoendelea kinaniridhisha JPM alirestishwa. Sio bahati mbaya hii. Namshukuru Mangula kunawa mikono.
Kwa hiyo kama alirestishwa mama yupo ndani ya mpango huo! Au mimi ndio sielewi?
 
Back
Top Bottom