Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Ulivaa Sara yako vizuri wakati wa jiwe kwa sababu ya nguvu ya dola. Muulize kamanda shana.
Hawa ndio walifanya sisi wana CCM tusivae sare zetu mtaani tukionekana wahuni kama wao. Sasa wamerudi tena. Sare yangu napigia deki.