Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Kusema kweli maamuzi wa Rais Magufuli kuvunja mikataba tuliyoingia b yanatugharimu sana kama Taifa. Na yatatugharimu sana kama Taifa.
Hizi kesi tunazoshtakiwa na sasa tunalipa mabilioni zinatuumiza sana na itachukua muda mrefu sana kama Taifa kuanza kuaminiwa.
Mbaya zaidi zinatufedheesha sana mbele ya dunia maana wataalamu wetu wanapekekwa kutetea vitu ambavyo nina uhakika wanajua kabisa kuwa having sawa.
Ifike kipindi tuweke utaratibu wa kuwadhibiti viongozi hasa wa kisiasa katika kufanya maamuzi. Ushauri wa wataalamu ndo uongoze maamuzi yao kisheria na sio wao ndo wawaelekeze wataalamu waamue nini.
Hizi kesi tunazoshtakiwa na sasa tunalipa mabilioni zinatuumiza sana na itachukua muda mrefu sana kama Taifa kuanza kuaminiwa.
Mbaya zaidi zinatufedheesha sana mbele ya dunia maana wataalamu wetu wanapekekwa kutetea vitu ambavyo nina uhakika wanajua kabisa kuwa having sawa.
Ifike kipindi tuweke utaratibu wa kuwadhibiti viongozi hasa wa kisiasa katika kufanya maamuzi. Ushauri wa wataalamu ndo uongoze maamuzi yao kisheria na sio wao ndo wawaelekeze wataalamu waamue nini.