Tusirudie kosa Uwanja wa Ndege wa Bukoba Ufanyiwe maboresho haya

Tusirudie kosa Uwanja wa Ndege wa Bukoba Ufanyiwe maboresho haya

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Tunajua mzee Kato hakuwapenda wahaya maana walimuita mshuti kwakuwa wote walio hamia kutoka Bahima , Babito, Wanyarwanda na warundi wanaitwa washuti na kazi zao kubwa ni kufanya kazi mashambani, bahati mbaya mshuti alikuja akatoboa akawongoza mpaka wao!

Kwanza akazima ndoto nyingi za mkoa ule

Tunajua Pamoja na kwamba Bukoba hakuna uwanja wa kimataifa Au uwanja mzuri ila ndege zake zinajaa kuliko sehemu yeyote !

Uwanja ule ufanyiwe haya

OPTION YA KWANZA

1.Hamisha Kashozi Road uwanja usagee zaidi hadi kwenye ile Barabara Au ulazwe mshazari yaan Sambamba na Kashozi Road

Kuwepo Magari yaliyo active ya kuzima moto na huduma nyingine za uokoaji inapotokea dharula, BUKOBA AIRPORT GARI LA ZIMA MOTO NI GERESHA TU NALIJUA HALIFANYI KAZI HATA TAIRI ZAKE ZIMEZAMA NDANI

2. Toeni wahaya hao Ofisn wao ninsyiru Kwa kihaya Tu uwajibikaji wao ni sifuri Kabisa naongea haya nikiwa nawajua wote leta watu wenye weledi ndani ya Ofis hiyo pale Uwanja wa ndege watakao weza Ku respond on time kama kuna dharula na mawasiliano na pilots KIJANA MAJALIWA ANAENDELEA KUZURULA NA POLISI KUNA WANAVYOMZIBA MDOMO ASIONGEE NA BWANA BUCHWA ALIMFUATA BAADA YA KUPATA FAHAMU HOSPITAL KWAMBA ACHUJE YA KUSEMA !! Asiseme seme aliyoona yote !

3. Weka Taa maana wakati wa Ukungu hakuna alama yeyote inayoonesha hata Mipaka ya uwanja inasikitisha Sana sana yan

Nawakumbusha ni Mara ya Pili ndege kupata ajali eneo lile ya kwanza ilikuwa ya Jeshi Miaka ya 1994

OPTION YA PILI
UTUMIKA KWA MUDA HUKU TUKIJENGA OMUKAJUNGUTI

Angalizo Hatutaki Ujinga wa kutupeleka CHATO

Britanicca
 
Tangu lini muhimu akafanya kazi za Shambani weye. Those guys walikuja na skills ndo maana from daily life to leadership. Ndo maana waliweza kudominate.
 
Tunajua mzee Kato hakuwapenda wahaya maana walimuita mshuti kwakuwa wote walio hamia kutoka Bahima , Babito, Wanyarwanda
Viongozi wangekuwa wanakuja na mapendekezo Kama haya nchi yetu hii ingekuwa mfano wa kuigwa Afrika mashaki na kati.
 
Serikali imesema Uwanja hauna tatizo!
Unategemea Majaliwa akwambie ukweli? Au Rais wangu Samia? Kwenye ukweli nasemaga aisee Uwanja naongea na marubani hata Rubaga we ever had talk naye Uwanja Uko 70M Pungufu
 
Tunajua mzee Kato hakuwapenda wahaya maana walimuita mshuti kwakuwa wote walio hamia kutoka Bahima , Babito, Wanyarwanda na warundi wanaitwa washuti na kazi zao kubwa ni kufanya kazi mashambani, bahati mbaya mshuti alikuja akatoboa akawongoza mpaka wao!
Duh...!. Kumbe mlimuita mshuti...!, sasa ndio nimeelewa kwanini...
Tunajua Pamoja na kwamba Bukoba hakuna uwanja wa kimataifa Au uwanja mzuri ila ndege zake zinajaa kuliko sehemu yeyote !
Sii kweli, ndege zinazoongoza kwa kujaa na the highest frequency ni za Dar - Zanzabar, every 30 min!. Za pili ni za Dar- Mwanza, na Dar- Kilimanjaro hawa wana flights 6 daily, 3 za ATC na 3 za PAA. Za 3. ni za Dar Dodoma wana 4 flights daily, 2 za ATC na 2 za Paa. The rest wana single flight daily!. Kwa vile ndege zote za Bukoba zinapita Mwanza, na Wahaya wana more purchasing power kuliko Wasukuma, ndege nyingi za Mwanza, zinajaza Wahaya!.
Uwanja ule ufanyiwe haya
2. Toeni wahaya hao Ofisn wao ninsyiru Kwa kihaya Tu uwajibikaji wao ni sifuri Kabisa naongea haya nikiwa nawajua wote leta watu wenye weledi ndani ya Ofis hiyo pale Uwanja wa ndege watakao weza Ku respond on time kama kuna dharula na mawasiliano na pilots
Nimeipenda hii, kukubali udhaifu, kuna baadhi ya makabila kazi za mitulinga hawaziwezi, Zimamoto na uokoaji ni kazi za kijeshi jeshi, sio makabila yote ni wazuri kwenye kila kazi!. Hili la kazi za kijeshi jeshi niliwahi liongelea Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?, kuna kazi fulani ni kazkaz hazitaki ubishoo!.
KIJANA MAJALIWA ANAENDELEA KUZURULA NA POLISI KUNA WANAVYOMZIBA MDOMO ASIONGEE NA BWANA BUCHWA ALIMFUATA BAADA YA KUPATA FAHAMU HOSPITAL KWAMBA ACHUJE YA KUSEMA !! Asiseme seme aliyoona yote !
Duh...!, kumbe dogo amezibwa mdomo!. Hii ni info tip nzuri kwa sisi watu wa habari za I.J
OPTION YA PILI
UTUMIKA KWA MUDA HUKU TUKIJENGA OMUKAJUNGUTI
Hapa nimeipenda consistance yako kuhusu Omukaju!.
Angalizo Hatutaki Ujinga wa kutupeleka CHATO
Britanicca
Kwenye hili la mwisho ndipo tunapotofautiana!, wewe unapinga uwanja wa Chato, mimi Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika!
P
 
Kwa taarifa uwanja wa ndege Bukoba haina control tower, rubani anajiongeza kama ni hali ya hewa mbaya akisaidiwa na control tower ya mwanza. Jambo hili tusikae kimya.

Mkurugenzi wa aviation amepotesha eti hii ni ajali ya pili Bukoba katika historia, siyo kweli, kumbukumbu ni ya 5 kwa miaka 60 iliyopita.

Ajali ya kwanza ya shirika la Caspair mwaka 1964, ndege ilitumbukia majini watu wote wakafa. Ajali ya pili ni 1969, mabaki ya ndege yaliwekwa Ihungo sec. School.

Ajali ya tatu mwaka 1979, mali ya Jwtz iliungua abiria wote walikufa.

Ajali ya nne mwaka 1999 mali ya Jwtz, ilitua nje ya uwanja ikaungua, alikufa abiria mmoja.
 
Back
Top Bottom