Tusiruhusu wake zetu watu zoee sana tuwe wakali kidogo

Tusiruhusu wake zetu watu zoee sana tuwe wakali kidogo

Nyamwage

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2020
Posts
712
Reaction score
1,748
Mke anae pinga sana hoja zako mara kwa mara au maelekezo unayotoa katika family kama baba kichwa cha family anakuwa mtu wa kukupingapinga bila sababu zozote za msingi hizo ni dalili za kuanza kukudharau na kukukosea heshima na mnapoendelea hivi hivi bila kumkanya atakuja kukukosea heshima hata mbele ya kadamnasi au mbele ya wanao

kuna moja nimeshuhudia uncle wangu mimi akitukanwa na mkewe kua Uncle anatatuliwa linda kisa Uncle alimuuliza mkewe mbona umechukua pesa kwenye akiba bila kinijulisha hii imenisikitisha sana nikasema sitaruhusu mkewangu anizoee namna hii atakula viboko

Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
 
Mke anae pinga sana hoja zako mara kwa mara au maelekezo unayotoa katika family kama baba kichwa cha family anakuwa mtu wa kukupingapinga bila sababu zozote za msingi hizo ni dalili za kuanza kukudharau na kukukosea heshima na mnapoendelea hivi hivi bila kumkanya atakuja kukukosea heshima hata mbele ya kadamnasi au mbele ya wanao

kuna moja nimeshuhudia uncle wangu mimi akitukanwa na mkewe kua Uncle anatatuliwa linda kisa Uncle alimuuliza mkewe mbona umechukua pesa kwenye akiba bila kinijulisha hii imenisikitisha sana nikasema sitaruhusu mkewangu anizoee namna hii atakula viboko

Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
Ukute anko wako anatatuliwa kweli,
Sema wewe ndo hujui ila mke wake anajua.
 
Mke anae pinga sana hoja zako mara kwa mara au maelekezo unayotoa katika family kama baba kichwa cha family anakuwa mtu wa kukupingapinga bila sababu zozote za msingi hizo ni dalili za kuanza kukudharau na kukukosea heshima na mnapoendelea hivi hivi bila kumkanya atakuja kukukosea heshima hata mbele ya kadamnasi au mbele ya wanao

kuna moja nimeshuhudia uncle wangu mimi akitukanwa na mkewe kua Uncle anatatuliwa linda kisa Uncle alimuuliza mkewe mbona umechukua pesa kwenye akiba bila kinijulisha hii imenisikitisha sana nikasema sitaruhusu mkewangu anizoee namna hii atakula viboko

Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anatatuliwa nn? Wameachana hao watu? JF bhana
 
shangazi yako ndo anajua mjomba wako Kama mpini wake ni legevu haurushi tone la kwanza mbali....
 
Poleni sana... Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Bwana smart,Hebu tupe Siri yahuu msemo wako wa....Tatizo binadamu wasasa niwabishi mno.
 
Nisingesubiri, vichwa ,vifuti na vipepsi kwa wingi nimng'oe hata meno, sijui jirani au balozi akiingilia anakuwa amenunua vita,

Kama mwanamke anakudharau hivo wewe, wakija nduguzo ndo kwisha kabisa, atawamwagia hata mavi usoni,
 
Back
Top Bottom