Tusisahau pia kuweka kumbukumbu sawa, kundi B kwenye CAFCL ndilo halijatoa timu hatua ya nusu fainali

Tusisahau pia kuweka kumbukumbu sawa, kundi B kwenye CAFCL ndilo halijatoa timu hatua ya nusu fainali

Majok majok

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2023
Posts
783
Reaction score
2,057
Kila kundi limepeleka timu hatua ya nusu fainali klabu bingwa, kundi A limepeleka timu 2 (Tp mazembe na Mamelod) kundi C limepeleka timu 1 (Esperance) kundi D limepeleka (Aly Ahly) kwa maana iyo kundi pekee ambalo alijapeleka timu yoyote nusu fainali ni kundi B!

Kundi Hilo lilikuwa na watumishi hewa Kama ifuatavyo;
Asec mimosas
Simba
Jwaneng
Whydad

Tukiangalia kwa jicho la Tatu ubora wa hizi timu hapo tutaona ni timu ambazo zilikuwa na viwango Duni sana ata kuingia robo kwa Simba ilikuwa ni bahati nasibu ya kusaidiwa na mganga wa Rufiji, kwa maana quality ya wachezaji wake ni quality ya kucheza na Namungo au mtibwa sugar na sio CCL!

Bahati nzuri mpira auchezwi chumbani unachezwa hadharani viwango vyao tunaviona na timu yao tunaiona!

Pumba na mchele uwa vinajitenga vikipembuliwa na kama ni pumba zote zinatupwa jalalani au kuwa chakula Cha kuku ndicho kilichotokea kwa timu mbovu zote kuondoshwa hatua ya robo fainali akuna ata moja imesonga mbele!
Kwa maana kwenye makundi yote kundi la Simba ndilo kilikuwa kundi dhaifu kuliko yote!

Namba azidanganyi zimeondoa utata kwa 100%
 
Kila kundi limepeleka timu hatua ya nusu fainali klabu bingwa, kundi A limepeleka timu 2 (Tp mazembe na Mamelod) kundi C limepeleka timu 1 (Esperance) kundi D limepeleka (Aly Ahly) kwa maana iyo kundi pekee ambalo alijapeleka timu yoyote nusu fainali ni kundi B!

Kundi Hilo lilikuwa na watumishi hewa Kama ifuatavyo;
Asec mimosas
Simba
Jwaneng
Whydad

Tukiangalia kwa jicho la Tatu ubora wa hizi timu hapo tutaona ni timu ambazo zilikuwa na viwango Duni sana ata kuingia robo kwa Simba ilikuwa ni bahati nasibu ya kusaidiwa na mganga wa Rufiji, kwa maana quality ya wachezaji wake ni quality ya kucheza na Namungo au mtibwa sugar na sio CCL!

Bahati nzuri mpira auchezwi chumbani unachezwa hadharani viwango vyao tunaviona na timu yao tunaiona!

Pumba na mchele uwa vinajitenga vikipembuliwa na kama ni pumba zote zinatupwa jalalani au kuwa chakula Cha kuku ndicho kilichotokea kwa timu mbovu zote kuondoshwa hatua ya robo fainali akuna ata moja imesonga mbele!
Kwa maana kwenye makundi yote kundi la Simba ndilo kilikuwa kundi dhaifu kuliko yote!

Namba azidanganyi zimeondoa utata kwa 100%
Washindanao kwa kupiga mbio huwa ni wengi, lakini apokeae tuzo huwa ni mmoja tu.

Kuna bingwa mmoja tu hapo wala sio zaidi.

Mwakarobo jr mwendo mlimaliza April 5, tulieni na NBCPL yenu sasa 😂😂
 
Kila kundi limepeleka timu hatua ya nusu fainali klabu bingwa, kundi A limepeleka timu 2 (Tp mazembe na Mamelod) kundi C limepeleka timu 1 (Esperance) kundi D limepeleka (Aly Ahly) kwa maana iyo kundi pekee ambalo alijapeleka timu yoyote nusu fainali ni kundi B!

Kundi Hilo lilikuwa na watumishi hewa Kama ifuatavyo;
Asec mimosas
Simba
Jwaneng
Whydad

Tukiangalia kwa jicho la Tatu ubora wa hizi timu hapo tutaona ni timu ambazo zilikuwa na viwango Duni sana ata kuingia robo kwa Simba ilikuwa ni bahati nasibu ya kusaidiwa na mganga wa Rufiji, kwa maana quality ya wachezaji wake ni quality ya kucheza na Namungo au mtibwa sugar na sio CCL!

Bahati nzuri mpira auchezwi chumbani unachezwa hadharani viwango vyao tunaviona na timu yao tunaiona!

Pumba na mchele uwa vinajitenga vikipembuliwa na kama ni pumba zote zinatupwa jalalani au kuwa chakula Cha kuku ndicho kilichotokea kwa timu mbovu zote kuondoshwa hatua ya robo fainali akuna ata moja imesonga mbele!
Kwa maana kwenye makundi yote kundi la Simba ndilo kilikuwa kundi dhaifu kuliko yote!

Namba azidanganyi zimeondoa utata kwa 100%
Aahaaaaa

Subiria nimwite Scars
 
Kila kundi limepeleka timu hatua ya nusu fainali klabu bingwa, kundi A limepeleka timu 2 (Tp mazembe na Mamelod) kundi C limepeleka timu 1 (Esperance) kundi D limepeleka (Aly Ahly) kwa maana iyo kundi pekee ambalo alijapeleka timu yoyote nusu fainali ni kundi B!

Kundi Hilo lilikuwa na watumishi hewa Kama ifuatavyo;
Asec mimosas
Simba
Jwaneng
Whydad

Tukiangalia kwa jicho la Tatu ubora wa hizi timu hapo tutaona ni timu ambazo zilikuwa na viwango Duni sana ata kuingia robo kwa Simba ilikuwa ni bahati nasibu ya kusaidiwa na mganga wa Rufiji, kwa maana quality ya wachezaji wake ni quality ya kucheza na Namungo au mtibwa sugar na sio CCL!

Bahati nzuri mpira auchezwi chumbani unachezwa hadharani viwango vyao tunaviona na timu yao tunaiona!

Pumba na mchele uwa vinajitenga vikipembuliwa na kama ni pumba zote zinatupwa jalalani au kuwa chakula Cha kuku ndicho kilichotokea kwa timu mbovu zote kuondoshwa hatua ya robo fainali akuna ata moja imesonga mbele!
Kwa maana kwenye makundi yote kundi la Simba ndilo kilikuwa kundi dhaifu kuliko yote!

Namba azidanganyi zimeondoa utata kwa 100%
Bado unaweweseka! Pole sana Aisee!
 
Kila kundi limepeleka timu hatua ya nusu fainali klabu bingwa, kundi A limepeleka timu 2 (Tp mazembe na Mamelod) kundi C limepeleka timu 1 (Esperance) kundi D limepeleka (Aly Ahly) kwa maana iyo kundi pekee ambalo alijapeleka timu yoyote nusu fainali ni kundi B!

Kundi Hilo lilikuwa na watumishi hewa Kama ifuatavyo;
Asec mimosas
Simba
Jwaneng
Whydad

Tukiangalia kwa jicho la Tatu ubora wa hizi timu hapo tutaona ni timu ambazo zilikuwa na viwango Duni sana ata kuingia robo kwa Simba ilikuwa ni bahati nasibu ya kusaidiwa na mganga wa Rufiji, kwa maana quality ya wachezaji wake ni quality ya kucheza na Namungo au mtibwa sugar na sio CCL!

Bahati nzuri mpira auchezwi chumbani unachezwa hadharani viwango vyao tunaviona na timu yao tunaiona!

Pumba na mchele uwa vinajitenga vikipembuliwa na kama ni pumba zote zinatupwa jalalani au kuwa chakula Cha kuku ndicho kilichotokea kwa timu mbovu zote kuondoshwa hatua ya robo fainali akuna ata moja imesonga mbele!
Kwa maana kwenye makundi yote kundi la Simba ndilo kilikuwa kundi dhaifu kuliko yote!

Namba azidanganyi zimeondoa utata kwa 100%
Hili Bifu la Simba na Yanga kivyovyote haliwezi kisha YANGA OYEEEEEH
 
Mbumbumbu Fc kwasasa hawana pakushika.
 
Sema Mungu anaona mbali.
Mngeenda nusu mngetuambia simba sio watanzania tuhame nchi.
 
Wewe uliyepita kundi dume umeishia wapi huko Cafcl au unasifia uanaume wa wenzio wewe ukiwa umeishia robo?
Mwishoni mtaanza kusifia Mamelod ikibeba kombe ili mdai mmetolewa na timu dume
 
potelea mbali sisi tupo bize kumpa ulinzi muheshimiwa refa asitupiwe majini.

downloadfile-2.jpg
 
Back
Top Bottom