Tusisahau pia kuweka kumbukumbu sawa, kundi B kwenye CAFCL ndilo halijatoa timu hatua ya nusu fainali

Tusisahau pia kuweka kumbukumbu sawa, kundi B kwenye CAFCL ndilo halijatoa timu hatua ya nusu fainali

Na bado naongezea ndio timu iliyopigwa nje ndani hatua ya robo fainali, wachezaji wao wanaopatikana tandale kwa mujibu wa mwina kaduguda wameonyesha na kukazia usemi wake wakiwa na mshambuliaji hatari wa kutegemewa saido ntibanzokiza!!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuteseka ni kubayaa sana woiiiih
 
Yaani hizi hypes ni mbaya sana.n🤣🤣🤣
 
Kila kundi limepeleka timu hatua ya nusu fainali klabu bingwa, kundi A limepeleka timu 2 (Tp mazembe na Mamelod) kundi C limepeleka timu 1 (Esperance) kundi D limepeleka (Aly Ahly) kwa maana iyo kundi pekee ambalo alijapeleka timu yoyote nusu fainali ni kundi B!

Kundi Hilo lilikuwa na watumishi hewa Kama ifuatavyo;
Asec mimosas
Simba
Jwaneng
Whydad

Tukiangalia kwa jicho la Tatu ubora wa hizi timu hapo tutaona ni timu ambazo zilikuwa na viwango Duni sana ata kuingia robo kwa Simba ilikuwa ni bahati nasibu ya kusaidiwa na mganga wa Rufiji, kwa maana quality ya wachezaji wake ni quality ya kucheza na Namungo au mtibwa sugar na sio CCL!

Bahati nzuri mpira auchezwi chumbani unachezwa hadharani viwango vyao tunaviona na timu yao tunaiona!

Pumba na mchele uwa vinajitenga vikipembuliwa na kama ni pumba zote zinatupwa jalalani au kuwa chakula Cha kuku ndicho kilichotokea kwa timu mbovu zote kuondoshwa hatua ya robo fainali akuna ata moja imesonga mbele!
Kwa maana kwenye makundi yote kundi la Simba ndilo kilikuwa kundi dhaifu kuliko yote!

Namba azidanganyi zimeondoa utata kwa 100%
Kuna wimbo wa Juma Nature unaitwa Jinsi Kijana 😂😂😂 nimeuwaza sana hapa
 
Endelea tu kupiga punyeto
Kila kundi limepeleka timu hatua ya nusu fainali klabu bingwa, kundi A limepeleka timu 2 (Tp mazembe na Mamelod) kundi C limepeleka timu 1 (Esperance) kundi D limepeleka (Aly Ahly) kwa maana iyo kundi pekee ambalo alijapeleka timu yoyote nusu fainali ni kundi B!

Kundi Hilo lilikuwa na watumishi hewa Kama ifuatavyo;
Asec mimosas
Simba
Jwaneng
Whydad

Tukiangalia kwa jicho la Tatu ubora wa hizi timu hapo tutaona ni timu ambazo zilikuwa na viwango Duni sana ata kuingia robo kwa Simba ilikuwa ni bahati nasibu ya kusaidiwa na mganga wa Rufiji, kwa maana quality ya wachezaji wake ni quality ya kucheza na Namungo au mtibwa sugar na sio CCL!

Bahati nzuri mpira auchezwi chumbani unachezwa hadharani viwango vyao tunaviona na timu yao tunaiona!

Pumba na mchele uwa vinajitenga vikipembuliwa na kama ni pumba zote zinatupwa jalalani au kuwa chakula Cha kuku ndicho kilichotokea kwa timu mbovu zote kuondoshwa hatua ya robo fainali akuna ata moja imesonga mbele!
Kwa maana kwenye makundi yote kundi la Simba ndilo kilikuwa kundi dhaifu kuliko yote!

Namba azidanganyi zimeondoa utata kwa 100%
 
"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI" - DR LUC EYMAEL 2020
 
Ukishabikia sana Simba na Yanga lazima akili za kichwani zinaanza kupungua.

KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMERUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....

MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.

MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
 
FB_IMG_1682646137959 (3).jpg
 
Muda mrefu nilisema kundi la makolo ni dhaifu kuna watu walibisha
 
Kwahiyo inasaidia nini kwa Utopolo?
 
Back
Top Bottom