tracy martins
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 3,535
- 1,482
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya tumekuelewa,shule za kata ndio zinaongoza kwa kufanya vizuri!!!Ahsante mdau wa elimu. Ulichoongea INAWEZEKANA kina ukweli kwa asilimia kubwa maana kuna watu nilisoma walitoka O'level hizo shule zinazoongoza. Kuja A'level ikawa tofauti sana.
Lakini pia ukiwa kama mdau wa Elimu jitahidi kuandika vizuri. Kuchanganya r nal, pa kuweka h,kukatisha sana maneno.....
enzi za mwalimu private walienda kusoma waliofeli. ilikuwa aibu kusema unasoma private, lakini leo.....!
Wadau si shule zote zinafanyaja hujuma katika eneo la mtihani.Mapungufu ya shule za serikali yanafahamika.Zinaweza kuwa zinapata matokeo mazuri ambayo si sitahiki.Mjue kuna ata mbinu chafu huwa zinatumika kwa baadhi ya shule
Ndugu mwalimu ulichosema ni kweli lakini bado haufuti ukweli wa kwamba kuna shule za private zinafanya udanganyifu kupamba biashara zao. Hata mkibisha ila pesa ndo zinaongea.