Tusitegemee makubwa zaidi kutoka kwa Aziz-Ki!

Embu wewe unaejua mpira tuambie kazi za namba 10
 
Umtema saido unamsajili morison & key utopweza kabisa huu kiwango cha lami
 
Mkuu usipanic. Kiufupi Anachomaanisha huyu 'mwananchi' mwenzako ni kwamba pale kwa Aziza key, Joyce na Biring'anya wa EPL tumepigwa na kitu kizito. Ukiendelea kubisha njoo nimekaa paleee
 
Aziz ki siyo forward, ni kiungo anatimiza mahitaji ya kukaba, kunyang'anya mipira na kupandisha timu ili strikers wafunge.

Ikitokea kapata nafasi ya kufunga ni sawa.
anacheza namba 10 huyu aziza
 
Naunga mkono hoja yako mleta uzi.

Hata mechi ya jana naamini kama Feisal angesogezwa juu alipokuwa anacheza Ki kidogo Yanga wangeweza kupata attempts nyingi zaidi kutokana na hulka ya Feisal kujaribu lango.
Ahsante mkuu
 
Wewe jamaa ni kiazi Kwa asilimia milioni
 
Mambumbumbu wenzangu toka MAKOLOKOLO FC chonde chonde tusijisahau sana maana mwisho wa safari yetu hauko mbali sana [emoji28]
 
Nakuunga mkono kwa hoja moja ndio maana simba walikataa dau walilo tajiwa na Asec, wali tazama namba za mchezaji kiwanjani na dau walilotajiwa wakaona mh hapa kuna namna ..sasa engineer katoka zake huko akajaa mazima itabidi mumvumilie huenda namba zitasoma ndani ya NBC PL
 
Huyo Aziz Ki ni mchezaji wa kawaida sana sio kama walivyokuwa wanampigia promo kama ilivyo kawaida kwa mashabik wa kitanzania.

Ukweli ni kwamba hii tabia ya kununua wachezaji kutoka nchi za nje ni fasheni tu imekuja lakini ukweli ni kwamba asilimia 70 ya wachezaji hao wa kigeni hawana lolote ni watu wanatumia tu hiyo nafasi kupiga pesa. Hamna lolote ni bure kabisa.
 
Aliletwa kisiasa. pesa mingi mahitaji si makubwa. ilikuwa bora kubaki feisal na sureboy tu.
 
Kiukweli Aziz ki ni mzigo kwa Yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…