Mi ninamifupa tu..😂ongezea nyama mkuu
nenda kwenye tovuti mkuu!Mwenye manifesto ya Chademu iaeke hapa!
Acheni kuanzisha thread za chekechea hili ni jukwaa la wenye akili timamu. Matatizo ya wafanyakazi kujulikana mpaka mei mosi? Ni CCM tu ndo hamjui matatizo ya wafanyakazi na ndo maana mnawadharau. Hata mtoto wa mfanyakazi anajua matatizo aliyonayo baba/mama yake.Kujua shida za wafanyakazi ni pamoja na kuhudhuria kwenye sherehe za wafanyakazi ili kujua kikamilifu matatizo ya wafanyakazi.
Leo hii ukisimama jukwaani ili kuvutia kura unajidai unawapenda wafanyakazi ni ulaghai wa kiwango cha utopolo(samahani mashabiki wenzangu wa yanga)
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Kwakua mleta uzi alikuwa na hela ya mifupa tu.Hivyo tu..? Uzi mbona hauna nyama huu..😂
mbona mimi mtumishi wa umma nimepandishiwa??Mataga na akili za kujazwa kwenye malori.
Yani MaCCM nyie mnawaza sherehe wakati sisi tunadeal na salary slip.
Chadema kuwalipa wafanyakazi ongezeko la mishahara la miaka 5 ambalo Mzee Pombe ametumia kulitapanya kununua wapinzani feki na kujenga uwanja wa ndege nje kwake.
Kujua shida za wafanyakazi mpaka uhudhurie sherehe za wafanyakazi!!?Kujua shida za wafanyakazi ni pamoja na kuhudhuria kwenye sherehe za wafanyakazi ili kujua kikamilifu matatizo ya wafanyakazi.
Leo hii ukisimama jukwaani ili kuvutia kura unajidai unawapenda wafanyakazi ni ulaghai wa kiwango cha utopolo(samahani mashabiki wenzangu wa yanga)
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
lini Chadema ilikutana na TUCTA?Acheni kuanzisha thread za chekechea hili ni jukwaa la wenye akili timamu. Matatizo ya wafanyakazi kujulikana mpaka mei mosi? Ni CCM tu ndo hamjui matatizo ya wafanyakazi na ndo maana mnawadharau. Hata mtoto wa mfanyakazi anajua matatizo aliyonayo baba/mama yake.