Tusiwadanganye wafanyakazi. CHADEMA haijawahi kuhudhuria Sherehe za Wafanyakazi kwa miaka mitano

Tusiwadanganye wafanyakazi. CHADEMA haijawahi kuhudhuria Sherehe za Wafanyakazi kwa miaka mitano

Kujua shida za wafanyakazi ni pamoja na kuhudhuria kwenye sherehe za wafanyakazi ili kujua kikamilifu matatizo ya wafanyakazi.
Leo hii ukisimama jukwaani ili kuvutia kura unajidai unawapenda wafanyakazi ni ulaghai wa kiwango cha utopolo(samahani mashabiki wenzangu wa yanga)

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
miongoni mwawanao sema maendeleo hayana ubaguzi no wewe,Mimi nawauliza wanajukwaa juu yako.unayosema Yana uelekeo huo?
 
Halafu wakishahudhuria ndio shida za wafanyakazi zitatatuliwa?
Acheni mizaha na wafanyakazi, jibuni hoja za CHADEMA na sio hizi blah blah za kuhudhuria.

CHADEMA wameshasema wakishika madaraka watapandisha mishahara na kwa kuanzia watafidia malimbikizo ya nyongeza ya mishahara yote ambayo wafanyakazi waliyopunjwa na serikali ya Magufuli toka 2015-2020. Wafanyakazi wamesikia hilo, wamelielewa na watafanya maumizi sahihi siku ya kupiga kura.

Sasa, CCM imebakia na propaganda za kale badala ya kuja na sera mbadala ya madhubuti.
 
Sasa nyie mnaohudhuria na kuandaa hizo sherehe kiasi cha kuzielwa kero za wafanyakazi ipasavyo mmewasaidiaje?

Wanawezakua hawajawahi kuhudhuria lakini haiwafanyi washindwe kutatua matatizo yao kwa vile nyie mmeshindwa.
Waliwaita na kuwaalika lakini mlikuwa bar!
 
Daudi Mchambuzi
Jibu hoja kwa hoja...mlikuja na kiki ya kujaza uwanja mkafulia...sisi tukawaonesha mijadala ya Sera...mkatufuata...sasa tunawaumbua vizuri
 
Povu la nini..?
Jibu hoja kwa hoja...mlikuja na kiki ya kujaza uwanja mkafulia...sisi tukawaonesha mijadala ya Sera...mkatufuata...sasa tunawaumbua vizuri
Hoja ni kwamba serikali ya CCM chini ya Mzee Pombe imewadhulumu wafanyakazi kwa kutowapandishia mshahara kwa miaka 5 jambo ambalo walistahili kufanyiwa kisheria.

Serikali ya Chadema itawalipa wafanyakazi stahiki zao walizodhulumiwa na serikali katili ya CCM kwa miaka 5.
 
Hoja ni kwamba serikali ya CCM chini ya Mzee Pombe imewadhulumu wafanyakazi kwa kutowapandishia mshahara kwa miaka 5 jambo ambalo walistahili kufanyiwa kisheria.

Serikali ya Chadema itawalipa wafanyakazi stahiki zao walizodhulumiwa na serikali katili ya CCM kwa miaka 5.
Tumepanda vyeo labda kama upo misinformed
 
Kujua shida za wafanyakazi ni pamoja na kuhudhuria kwenye sherehe za wafanyakazi ili kujua kikamilifu matatizo ya wafanyakazi.
Leo hii ukisimama jukwaani ili kuvutia kura unajidai unawapenda wafanyakazi ni ulaghai wa kiwango cha utopolo(samahani mashabiki wenzangu wa yanga)

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
wewe hujawahi kuwa mfanyakazi, utajuaje kama Chadema wana hudhuria
 
Mbwa kama wewe hujawahi kuwa mfanyakazi, utajuaje kama Chadema wana hudhuria
Clips zipo na malalamiko ya vyama vya wafanyakazi yapo.
by the way kwa sasa mfanyakazi wa serikali anaheshimika kuliko mfanyabiashara.
 
Tumepanda vyeo labda kama upo misinformed
Mataga sheria inamtaka mfanyakazi kupata ongezeko la mshahara kila mwaka.
Nyie CCM chama katili mmewanyanyasa watumishi kwa kutowapandishia mshahara kwa miaka 5.

Watumishi wanakwenda kuwawajibisha kwenye sanduku la kura.
 
Unaumwaa wewe si bure, kwahio kwakua mwaka huu sherehe hazikufanyika kwahio Wafanyakazi hawana shida?
Kujua shida za wafanyakazi ni pamoja na kuhudhuria kwenye sherehe za wafanyakazi ili kujua kikamilifu matatizo ya wafanyakazi.
Leo hii ukisimama jukwaani ili kuvutia kura unajidai unawapenda wafanyakazi ni ulaghai wa kiwango cha utopolo(samahani mashabiki wenzangu wa yanga)

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Kujua shida za wafanyakazi ni pamoja na kuhudhuria kwenye sherehe za wafanyakazi ili kujua kikamilifu matatizo ya wafanyakazi.
Leo hii ukisimama jukwaani ili kuvutia kura unajidai unawapenda wafanyakazi ni ulaghai wa kiwango cha utopolo(samahani mashabiki wenzangu wa yanga)

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Yaaani kujua matatizo ya wafanyakazi mpaka uhudhulie sherehe yao?
 
Clips zipo na malalamiko ya vyama vya wafanyakazi yapo.
by the way kwa sasa mfanyakazi wa serikali anaheshimika kuliko mfanyabiashara.
Huu ni uwendawazimu kiwango cha juu sana kwahio huwa mnakwenda uwanjani mnawasikiliza kwa kuwasanifu kisha ndio mnakua mme
 
Kujua shida za wafanyakazi ni pamoja na kuhudhuria kwenye sherehe za wafanyakazi ili kujua kikamilifu matatizo ya wafanyakazi.
Leo hii ukisimama jukwaani ili kuvutia kura unajidai unawapenda wafanyakazi ni ulaghai wa kiwango cha utopolo(samahani mashabiki wenzangu wa yanga)

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
CHADEMA au chama chochote cha siasa ambacho hakipo madarakani hawahitaji kwenda kwenye sherehe za Mei Mosi ili kujua matatizo ya wafanyakazi.

Unakumbuka ishu ya KIKOKOTOO? Serikali ya CCM ndio ilianzisha zahama hiyo. Wabunge wa upinzani wakapinga ila wakazidiwa wingi. Unakumbuka Esta Bulaya wa CHADEMA alivyolianzisha na kuleta mjadala? Baadaye Magufuli akaja na janja ya kuwaita wafanyakazi kuongea nao na "kutoa ufumbuzi"?

Kwa hiyo kwa njia ya Bunge tu mengi yanawezekana, hata kusikiliza ns kusoma ripoti mbalimbali

Lakini nikwambie katika siasa Kama tu katika mpira. Ni halali kabisa kutumia makosa ya timu pinzani kutengeneza goli. Kama Magufuli alidiriki kuwahadaa wafanyakazi, kaahidi kuboresha mishahara ya wafanyakazi halafu akapiga chenga, hilo ni tatizo lake.
CHADEMA wametoa ahadi yao.
 
Back
Top Bottom