Tusiwalaumu sana Adam na Eva

Tusiwalaumu sana Adam na Eva

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Hiyo couple ya awali tusiilaumu sana kwa kula lile tunda!,laiti wasingekula wao naimani kabisa kuna mwamba huko na pisi kali yake wangekula tu!.. just jiangalie hata we mwenyewe na huyo partner wako tu msingekula kweli..😃

By the way alieanza kula ni eva akafata Adam unafikiri nini kama Adam angekataa kula..? Wanaume wenzangu najua mnajua nini huwa kinawakuta ukizira kula chakula cha mke au mchumba wako!.. Jamaa nae alijua atachambwa vibaya kinyama mixer kununiwa na kunyimwa nanihii!!..😂

Ubao bado unasoma draw kwa pande zote mbili huku mtu kapigwa risasi huku mwana kakatwa dudu!.
 
Hiyo couple ya awali tusiilaumu sana kwa kula lile tunda!,laiti wasingekula wao naimani kabisa kuna mwamba huko na pisi kali yake wangekula tu!.. just jiangalie hata we mwenyewe na huyo partner wako tu msingekula kweli..😃

By the way alieanza kula ni eva akafata Adam unafikiri nini kama Adam angekataa kula..?
Wanaume wenzangu najua mnajua nini huwa kinawakuta ukizira kula chakula cha mke au mchumba wako!..
Jamaa nae alijua atachambwa vibaya kinyama mixer kununiwa na kunyimwa nanihii!!..😂

Ubao bado unasoma draw kwa pande zote mbili huku mtu kapigwa risasi huku mwana kakatwa dudu!.
Acha story za vijiweni biblia haisemi kuwa lile tunda aliloonja Eva baada ya kudanganywa na shetani ilikuwa mgegedo, acha bangi bwashee 🙂
 
iweje baada ya kula walijiona wapo uchi na wakati hata kabla walikuwa uchi
Na iweje Mungu awaumbe na kuwapa sehemu za siri kisha awaambie wazaane na kuijaza dunia?

Mungu aliwaumba ili wagegedane wala hakuwazuia, so mti wa tunda waliizuwiwa kula haikuwa mgegedo (Biblia ipo wazi hapo) inaeleza sababu za Mungu kuwaumba Adam na Eva, pia inaeleza wazi kuhusu mpaka ya matumizi ya chakula (matunda) yaliyokuwepo hapo bustanini, soma kwa utulivu Mwanzo sura ya 1-3
 
Hiyo couple ya awali tusiilaumu sana kwa kula lile tunda!,laiti wasingekula wao naimani kabisa kuna mwamba huko na pisi kali yake wangekula tu!.. just jiangalie hata we mwenyewe na huyo partner wako tu msingekula kweli..😃

By the way alieanza kula ni eva akafata Adam unafikiri nini kama Adam angekataa kula..?
Wanaume wenzangu najua mnajua nini huwa kinawakuta ukizira kula chakula cha mke au mchumba wako!..
Jamaa nae alijua atachambwa vibaya kinyama mixer kununiwa na kunyimwa nanihii!!..😂

Ubao bado unasoma draw kwa pande zote mbili huku mtu kapigwa risasi huku mwana kakatwa dudu!.
Kwa hiyo tumeseme nyoka ndio ali mbikiri Eva ..?
 
Back
Top Bottom