Acha story za vijiweni biblia haisemi kuwa lile tunda aliloonja Eva baada ya kudanganywa na shetani ilikuwa mgegedo, acha bangi bwashee πHiyo couple ya awali tusiilaumu sana kwa kula lile tunda!,laiti wasingekula wao naimani kabisa kuna mwamba huko na pisi kali yake wangekula tu!.. just jiangalie hata we mwenyewe na huyo partner wako tu msingekula kweli..π
By the way alieanza kula ni eva akafata Adam unafikiri nini kama Adam angekataa kula..?
Wanaume wenzangu najua mnajua nini huwa kinawakuta ukizira kula chakula cha mke au mchumba wako!..
Jamaa nae alijua atachambwa vibaya kinyama mixer kununiwa na kunyimwa nanihii!!..π
Ubao bado unasoma draw kwa pande zote mbili huku mtu kapigwa risasi huku mwana kakatwa dudu!.
NdiyoUnajua kusoma ndugu..?π
Acha kunywa balimi
Subiri nitarudi baadaeSasa usijue kusoma tu bali ujue na kuelewa.
Huyu kweli kalewaSubiri nitarudi baadae
Tena banana wine πHuyu kweli kalewa
iweje baada ya kula walijiona wapo uchi na wakati hata kabla walikuwa uchiAcha story za vijiweni biblia haisemi kuwa lile tunda aliloonja Eva baada ya kudanganywa na shetani ilikuwa mgegedo, acha bangi bwashee [emoji846]
Ndio maana ukaitwa mti wa utambuzi wa mema na mabayaiweje baada ya kula walijiona wapo uchi na wakati hata kabla walikuwa uchi
Na iweje Mungu awaumbe na kuwapa sehemu za siri kisha awaambie wazaane na kuijaza dunia?iweje baada ya kula walijiona wapo uchi na wakati hata kabla walikuwa uchi
Kwa hiyo tumeseme nyoka ndio ali mbikiri Eva ..?Hiyo couple ya awali tusiilaumu sana kwa kula lile tunda!,laiti wasingekula wao naimani kabisa kuna mwamba huko na pisi kali yake wangekula tu!.. just jiangalie hata we mwenyewe na huyo partner wako tu msingekula kweli..π
By the way alieanza kula ni eva akafata Adam unafikiri nini kama Adam angekataa kula..?
Wanaume wenzangu najua mnajua nini huwa kinawakuta ukizira kula chakula cha mke au mchumba wako!..
Jamaa nae alijua atachambwa vibaya kinyama mixer kununiwa na kunyimwa nanihii!!..π
Ubao bado unasoma draw kwa pande zote mbili huku mtu kapigwa risasi huku mwana kakatwa dudu!.
Kwani tunda lililoliwa ni lipi.?Wapi tumezema hivyo..?
HAhahaMi namaanisha tunda Kama tunda kumbe watu wanatafsiri zao sijui wanasomaje!