Tusiwasakame Yanik Bangala na Djuma Shabani kuwa ni watovu wa nidhamu, Je Feisal Salumu nae ni mtovu wa nidhamu??

Ni haya mafanikio ya misimu miwili ndo yanatuziba mdomo tusiongee ila pale shida ipo na shida kubwa tu. We fans are just trying not to defocus viongozi wetu ila shida ipo na ipo siku tu.
Kwa kweli hata mm nakuunga mkono
Maana kama wachezaji wanaanzisha migomo ya chini chini,nini chanzo ?
Hawalipwi mishahara yao ?, Hawalipwi bonuses wanazoahidiwa ama ni nini?
Kwa Mayele tutawaelewa kua ni Suala la kuzidiwa pesa na waarabu ila hawa kina Bangala ,ni nini kimewapata?
 
Wewe nae Huwa unaanzisha mada za kijinga kijinga tu. Viongozi wanaokaa nao huko kambini wanasema hawana nidhamu, wewe upo mtaani unajifanya mjuaji.

Unafikiri hapa mwishoni kwanini kocha nabi alikua anawapiga benchi huyo juma na bangala.
 
Wewe nae Huwa unaanzisha mada za kijinga kijinga tu. Viongozi wanaokaa nao huko kambini wanasema hawana nidhamu, wewe upo mtaani unajifanya mjuaji.

Unafikiri hapa mwishoni kwanini kocha nabi alikua anawapiga benchi huyo juma na bangala.
Jikite kwenye hoja [emoji41]

Vipi kuhusu Feisal salumu na Saidoo Ntibazonkiza??

Toa umbumbumbu wako

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Vipi kuhusu Feisal na Saidoo Ntibazonkiza??

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Muwe na taarifa za kutosha kabla hamfungua uzi. Issue ya Saidoo sio ya kinidhamu ila walishindwa kuelewana kwenye urwfu wa mkataba. Saido alitaka miaka miwili Yanga walitaka kumpa mwaka mmoja Saido akakataa ndio chanzo cha kuondoka. Swala la Feisal liko wazi sana sijui watu hamuelewi wapi?
 
Vipi kuhusu Feisal na Saidoo Ntibazonkiza??

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mkuu sidhani kama una utashi wa unayoyaongelea.

Unajua kwanini Saidoo aliachwa na Yanga??.

Issue ya Fei iko wazi sana, alivurugwa akili baada ya kuahidiwa hela kule Azam, ila kabla ya hapo kila kitu kilikuwa sawa. Nasema hivi, sio Kwa kuhisi Bali kwa kujua.
 
Kwa kweli mm naipenda sana Yanga ila kwa hili tulilolifanya kuhusu Bangala na Djuma shabani limenihuzunisha mno mno,
 
Hakuna unachokijua.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
"Nchi hii ukitaka ubaya, basi, dai chako"....
 
Umepayuka mara tatu kwamba Yanga kuna tatizo halafu hujaeleza hata tatizo moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…