MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
team albadiri wakiiona hii watukosomea kisomo[emoji3]Nadhani ligi iendelee kwa timu zingine,Simba Sc apewe kombe lake ajikite na Champiomship
Endelea kupga usingz. Hzo ni ndoto. Do you remember zle 4-1 lknMwezi Mei siyo mbali kutoka sasa! Hamchelewi nyinyi kuzimia uwanjani na kung'oa viti!
Gentamycin karibu kwenye uzi uje na all rounder.Generalist nikiwa ' nawachana ' Yanga SC hapa JamiiForums huwa mnasema ' nawachukia ' kwakuwa Mimi ni Simba SC sasa leo kupitia Wasafi FM mwana Yanga SC Mwenzenu na Msemaji wenu wa zamani DC wa Arumeru Jerry Muro ' kawachana ' makavu kabisa.
Mkiambiwa Yanga SC kuna shida muwe mnatuelewa sawa? Haya sasa mkatalieni na mtukaneni na Jerry Muro wenu ili tujue kama mna Hasira sana.