MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,500
- Thread starter
- #21
We Mwalla hebu kuwa na staha. Sijui ni mfupi kama Mwalla ndo maana unafanya mambo ya kiufupi ufupi. Umesoma hadi Fomu Seven nini! Maana naona hata reasoning yako imekaa kama ya chekechea. Lakini si kosa lako si ajabu hata lishe ilikuwa shida ukadumaa hata ubongo. Ashukuriwe Mungu hukupata utapiamlo wa mdomo ndo maana unaweza kuongea. Ndugu yangu hujacchelewa siku hizi kuna QT hebu nenda kajiandikishe hata ukipata divisheni Five lakini utaambulia walau kujenga hoja. Naona Katiba Inakuzidi sana upeo ndo mana hata ukiisoma unashindwa kupata concept. Kuhusu ada ukiwa mpole na mnyenyekevu nami nawezachangia katika masomo yako kwani ndo Uzalendo unaosisitizwa katika Katiba Inayopendekezwa. SOURCE: bmbalamwezi.
hii ndio tabu ya kuanza kukimbia wakati hata kutambaa hujaanza... SHIIIIIIIDAH!!!
WE SHUKURU UNAONGEA NA MIMI JAPO HUNIJUI