Tusizinguane, Tujipange upya


hii ndio tabu ya kuanza kukimbia wakati hata kutambaa hujaanza... SHIIIIIIIDAH!!!
WE SHUKURU UNAONGEA NA MIMI JAPO HUNIJUI
 
soma hiyo katiba acha longolongo... We c umeingia juzi tu humu jf !! Sasa haya ndo mambo ya humu vumilia tu utazoea

mwala wewe si mtu bali ni msukule ulotumwa na ukawa, hoja zako hazina logic kabisaaa, hujui kutoa hoja, ebu epuka makelele kama debe lisilo na kitu humu jf, unajifanya bingwa wa kujibu vitu usivyovijua, katiba yenyewe hata hujui ina rangi gani, kama unabisha nambie ina rangi gani? Sasa kubali ukweli wa mambo, kuwa mzalendo, isome katiba inayopendekezwa na kisha fanya maamuzi sahihi kuipigia kura katiba hiyo kwa manufaa yako na ya watoto wako.
 
mwalla stop dreaming during the day! Read the constitution and come up with strong and substantial arguments. Au nimekutesa labda lugha hiyo haipandi. Kama haipandi nasema kasome katiba ili uweze kuwa na hoja yenye mashiko

umejitahidi kutambaaa...
 

pambaffff!!! Peleka huko hyo takataka yenu na mwizi wenu chenge. Kaisomeni afu kisha fungieni maandadhi
 
hii ndio tabu ya kuanza kukimbia wakati hata kutambaa hujaanza... Shiiiiiiidah!!!
We shukuru unaongea na mimi japo hunijui

hata kama akikujua kwani unataka ufanyeje cha maana? Wakati hoja kutoa hujui, rudi kindergatten ukasome ili ujue kutoa hoja humu ndani.
 

yaani wewe hata udenda wa shingo ndo unakuanza afu unapata wapi nguvu ya kunena hayo.. We wakunifundisha mimi weyee na mapengo yako hayo!!! Subiri ukue uote meno utambae uinuke upige hatua uanze kuita baba.. Mamaa!! Afu ndo ulete haya makalio yako ntakujibu unavyotaka.
 

kakupa dozi kubwa sana mpaka Imekuuma KWELI, nywea sumu ufeee basi kama kakuumiza huyo mchizi hapo juu.
 
Mmemchuza baba riz akajitamkia kuwa 30 APRIL tunapiga kura ya maoni... Tunapiga wapi wakati hata mikoa mitatu ya zoezi la kujiandikisha upigaji haijafikia.. Kweli nimeamini baba riz ni dhaif.. Hata akichuuzwa anaelekea tu. 30 APR hiyooooo tuone hilo zoezi kama litafanyika.
 
nawapongeza sana sana maaskofu kwa kazi wanayoifanya ya kuelimisha jamii ya wasiojitambua.. Wajitambue na kuelewa kuwa kitabu kilichotungwa na fisadi chenge and company hakifai hata kufungia maandazi.
Na siku yoyote kama itatokea tukapige kura ya ''hapana'' kwa hicho kitabu chao cha wasanii
.
 

naona sasa unachanganyikiwa wewe kidudu mtu, hivi leo ni siku gani na tarehe ngapi? Je unajua ulizaliwa lini, je una uhakika kama jana ucku ulikula? Je jk alisema kura ya maoni ni tarehe hiyo 30 october uloitaja hapo juu? Hiyo tarehe uloitaja ni tarehe ya uchaguzi mkuu wewe, usiote mchana mchana kweupe au maneno yangu yamekufanya mpaka umepoteza network kiac unaenda bila control? Pole sana na hapo bado huu ni mwanzo tu utaendelea kuchangayikiwa mpaka utajikuta unatembea uchi!!
 

hujitambui wewe, elimisha umma waelewe uzuri wa katiba hii inayopendekezwa, isome uielewe acha kudanganya na kushawishi watu humu jf.
 

mtaumia sana lakini tutapiga kura ya ''hapana'' kwa hicho kitabu chenu cha wasanii kina chenge.
 

umeishiwa hoja wewe kubwa jingaaa!! Hiloooooo, kasome katiba matuc humu noooooo!!

nikasome katiba ya nani??? Au hii ya fisadi chenge na kampuni yake???
Kama ndo hii bana haisomeki kabsaaa!!!
 
nikasome katiba ya nani??? Au hii ya fisadi chenge na kampuni yake???
Kama ndo hii bana haisomeki kabsaaa!!!

kwani unadahni kama we hutoisoma watanzania wengine hawataisoma? We kwani ni mungu wetu?? Kama huisomi acha hilo ni uamuzi wako wewe na halmashauri ya ubongo wako unaotapatapa kama mfa maji!!
 
nikasome katiba ya nani??? Au hii ya fisadi chenge na kampuni yake???
Kama ndo hii bana haisomeki kabsaaa!!!

we unadhani kama we hutoisoma ndo watanzania wote hawataisoma? Kwani we ni mungu wetu mpaka usema hivyo? Kama huna hoja osha vyombo vya hapo nyumbani kwako kisha utulie kama maji ya mtungini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…