Tusizinguane, Tujipange upya

nchi ipi wewe lofa hii nchi hii?? Hii ni koloni la mafisadi wa ccm soon tunaipatia uhuru na kuitwa nchi kamili tanganyika. Ukizidiwa nenda pemba katafute makazi huko labda mtapata wa kuwaburuza.

sibishani na mtu asiyesoma kama wewe, hata tarehe ya kura ya maoni huijui!!!?? Nadhani hata tarehe yako ya kuzaliwa hujui wewe falo!!!
 
afu nakuonea huruma sana we chekechea hata umate haujakutoka unajifanya unajua kumbe zombiiii la kutupa.

unajifanya kitumbua kumbe we ni andazi la juzi hata tarehe za uchaguzi huzijui etu we kamanda, we utakuwa kamanda wa vilaza!!
 
wewe ndio ucwe lafa humu ndani kwa kukuelimisha makamanda wooote wanajitambua na tunajua nini kinachoendelea.

wewe ndo kiongozi wa makamanda vilaza wasiotaka kuelewa na kukubali ukweli, wakati katiba imetuli, na mwisho wa siku ni itapita kwa uweza wa mola!!
 
Mwalla wewe ni fashisti huna tofauti na IS au unataka kuleta changes humu ndani, unafikiri tutakuelewa umezoea kukaa porini peke yako sasa leo umekutana na makamanda unalia tulia hapo hapo upigwe shule nyie ndio wahaini wa nchi hii kila kitu mwapinga tu na akili zenu za bata.
 
mbaffff zako...
utapiga wewe na mumeo na mwenyekiti wako wa kijiji.

WE Mwalla Sijui ni mfupi kama Mwalla ndo maana unafanya mambo ya kiufupi ufupi. Umesoma hadi Form Seven nini! Maana naona hata reasoning yako imekaa kama ya chekechea. Lakini si kosa lako si ajabu hata lishe ilikuwa shida ukadumaa hata ubongo. Ashukuriwe Mungu hukupata utapiamlo wa mdomo ndo maana unaweza kuongea. Ndugu yangu hujachelewa siku hizi kuna NGUMBARO hebu nenda kajiandikishe hata ukipata divisheni 7 lakini utaambulia walau kujenga hoja. Naona Katiba Inakuzidi sana upeo ndo mana hata ukiisoma unashindwa kupata concept. Kuhusu ada ukiwa mpole na mnyenyekevu nami nawezachangia katika masomo yako kwani ndo Uzalendo unaosisitizwa katika Katiba Inayopendekezwa.
 
Wapi Mwalla bata mzinga uliyekimbia shamba, goma la katiba pendekezwa linasonga kwa kasi ya ajabu, na mwaka huu lazima ufe we mbwiga huna ushawishi kwa watanzania :A S 20::A S 20::A S 20::A S 20:
 
wapi mwalla bata mzinga uliyekimbia shamba, goma la katiba pendekezwa linasonga kwa kasi ya ajabu, na mwaka huu lazima ufe we mbwiga huna ushawishi kwa watanzania :a s 20::a s 20::a s 20::a s 20:

tena huyo mwalla tunampa dozi mpaka uelimike kwasabu hajui kutoa hoja anabaki adanganya watu,
 
kwendraaaaaaa ccm wee sura kaa kiazi.

umetumwa wewe na ukawa, nakushauri ukasome katiba inayopendekezwa uilewe, hata kama utapiga kura ya hapana, hako kakura chako hakatazuia katiba hii kupita we fahamu hilo kwamba unapoteza haki yako ya bureee, hii itapita na itakusaidia wewe na utaieshimu kama kawaida! Hilo huwezi kubisha.
 
Wee Mwalla we ni nguruwe pori umezoea kula viazi na miwa ya watu leo lazima uliwe at acha uvivu wa kufikiri,hivi kuna shida gani ukiipata copy yako ukasoma afu ukajielewa kuliko kuchafua hali ya hewa humu ndani, jamani mishuzi yako kaa nayo mwenyewe eeeeeeee!
 
Wametumia pesa wakituambia wanaleta machine za BVR kumbe hawajanunua badala yake wanakodisha...Kenya ikawanyima na Nigeria nao pia wamegoma. Mchakato umesimama
 
Wametumia pesa wakituambia wanaleta machine za BVR kumbe hawajanunua badala yake wanakodisha...Kenya ikawanyima na Nigeria nao pia wamegoma. Mchakato umesimama

umetumwa wewe na ukawa, nakushauri ukasome katiba inayopendekezwa uilewe, hata kama utapiga kura ya hapana, hako kakura chako hakatazuia katiba hii kupita we fahamu hilo kwamba unapoteza haki yako ya bureee, hii itapita na itakusaidia wewe na utaieshimu kama kawaida! Hilo huwezi kubisha.
 
Nashawishika kuamini kuwa kuna wapinzani ndani ya serikali ya CCM na CCM yenyewe ambao ndio wanaiongoza Serikali na CCM yenyewe. Haiwezekani kuwa hawayaoni mambo yaliyowazi kama haya.

Warioba mwana CCM halisi alipowaambia ukweli ulio uchi wakajifanya hawaoni.

Vv
 

wewe akili yako yakushikiwa shikiwa, hatuongelei mambo ya vyma hapa ebu sepa kama huna hoja, osha vyombo ulivyolia ugali hapo kwenu au chota maji, mvua c umeiona hiyo imenyesha!!
 

kama huwezi kujibu mapigo nakushauri ndugu yangu kuwa na busara kubali ukweli, katiba inayopendekezwa imebeba mambo mengi na makundi yote yamezingatiwa ndani yake, ni wakati wako sasa kuisoma na kuielewa katiba hiyo.
 
Wametumia pesa wakituambia wanaleta machine za BVR kumbe hawajanunua badala yake wanakodisha...Kenya ikawanyima na Nigeria nao pia wamegoma. Mchakato umesimama



Hakuna cha Uliza Bei wala nini ndio maana jina lako lenyewe limepindapinda na hapa lazima tulinyoshe na utatulia huna hoja umetawaliwa na taarifa za kuokota njiani afu unatuletea hapa kaa nazo mwenyewe au kawaambie familia yako!! Watanzania wenye akili kama mimi tnakupuuza jaribu tena baadaye!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…