kwaida yake huyo....bado anatafuta kujulikana kwa simba na yanga......Kuna tatizo kwenye kiungo, Abdulhalim Humud amekuwa mchoyo mno wa pasi.
Rwanda wanapiga bao la pili.
wamekaza kinoma.....wamezidiwa vitu vidogo tu....watarudisha tu...Wapunguze kula urojo
Rwanda wanapiga bao la pili.