Tusker challenge cup Final: Uganda vs Rwanda


Mkuu sikufahamu kuwa kauli mbiu ya Rwanda inafanana na ya Burundi kiasi hicho, Warundi wao wanasema "UBUMWE-IBIKORWA-AMAJAMBERE (Unite-Travail-Progres)". Thanks Mkuu.
 
kesho kuna mashindano ya mpira wa mikono afrika mashariki na kati mashindano yatafanyikia uwanja wa ndani wa taifa. mia
 
rwanda wanakosa penati ya nne, penati nne nne na magoli ni rwanda 2-2 uganda
 
rwanda wanakosa penati yao ya mwisho final score baada ya penati tano tano uganda 3-2 rwanda
 
hongera Uganda cranes, ila dah inauma sana kwa warwanda. Micho anakubali matokeo coz ndio soccer lilivyo.....anashindwa hata kuelewa inakuaje unaongoza goli moja mbele kwa mara mbili mfululizo na pia unapata nafasi ya kuongoza penalti mbili za ziada then unakosa ushindi..hii kweli ndio soccer.
 
1. uganda kaanza ISACK ISINDE akapaa.
Rwanda akapiga kagere medie akapata.

2.uganda alipiga moses oroya akakosa
rwanda akapiga Haruna nionzima ukadunda kwenye mstari wakahesabu goli.

3.Uganda alipiga Habibu Kavuma akakosa.
Rwanda akapiga emery kaise.nge akakosa.

4. Uganda alipiga Khamis kiza akapata.
Rwanda akapiga erick Gasana akakosa.

5. Uganda kapiga Endrew msigwa ambaye ni nahodha akapata.
Rwanda akapiga aba ngabo akakosa.
UGANDA AKAWA AMESHINDA KWA PENATI 3 na RWANDA 2. MIA
 
duh, noma kweli, yaani Uganda ni bingwa mara 12......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…