Kombo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,812
- 511
kauli mbiu ya RWANDA ni;
*UBUMWE-umoja
*IBIKOGWA-kazi
*NA MAJAMBELE- maendelo
::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::.
kauli mbiu ya TANZANIA ni;
*TUMETHUBUTU
*TUMEWEZA
*NA TUNASONGA MBELE.
na hii tumedhihilisha katika michuano ya cecafa. Mia
Mkuu sikufahamu kuwa kauli mbiu ya Rwanda inafanana na ya Burundi kiasi hicho, Warundi wao wanasema "UBUMWE-IBIKORWA-AMAJAMBERE (Unite-Travail-Progres)". Thanks Mkuu.