Tumeshapigwa chini tayari! Kura za kihuni za kwenye bahasha, Yanga tumeokata iliyoandikwa OUT! Kila la kheri watani wetu. Ndipo pa kumalizia hasira hapo.
Mshaanza visingizio sijui kura za kihuni... fungu la kukosa la kukosa tu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumeshapigwa chini tayari! Kura za kihuni za kwenye bahasha, Yanga tumeokata iliyoandikwa OUT! Kila la kheri watani wetu. Ndipo pa kumalizia hasira hapo.
Tumeshapigwa chini tayari! Kura za kihuni za kwenye bahasha, Yanga tumeokata iliyoandikwa OUT! Kila la kheri watani wetu. Ndipo pa kumalizia hasira hapo.
Hii kanuni ya kura haiko fair, ni kheri hata ingepigwa penalti moja moja. 🙁
😱 ha! Umeme?! Kuna kitu hapo Masatu. lete matokeo
Simba yaangukia pua Tusker Cup, yatolewa nusu fainali
BAO la pili lililofungwa katika dakika ya 54 na Erick Obua wa Mamlaka ya Mapato Uganda (URA), lilitosha kuiwezesha timu hiyo kutinga fainali ya Kombe la Tusker na kuitupa Simba nje ya michuano hiyo.
Obua alifunga bao hilo la pili na hivyo kuifanya URA itoke uwanjani na ushindi wa mabao 2-1 katika mchezo wa nusu fainali uliochezwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Umeme umekatika!
pole sana, mlitucheka tulipo lamba garasa na kutolewa. Hivi kocha wenu ni nani vile? i guess will be sacked soon!
wowowo kidedea mpoo mpo mpompompompo wowowo kidedea.... mumeo akifa kwa ukimwi mke lazima ufuate alah... out kwa timu zote ah kumbe bado mtibwa asalaaale