watake wasitake...mnyama ndio bingwa....aah jamani bingwa si anjulikana?hivi hizi timu nyengine zinataka kusumbua bure wachezaji wao
the msimbazi reds are the champions abishae na abishe tu,tusubiri tuone
Ingekuwa Taifa Stars watu wangeanza kupiga kelele Maximomatokeo leo simba vs sofapaka wametoka 0-0
Mgosi kakosa penalti
kumbe nawe umeliona hilo.......mpaka sasa kimyaaaIngekuwa Taifa Stars watu wangeanza kupiga kelele Maximo
kumbe nawe umeliona hilo.......mpaka sasa kimyaaa
I can see the exit door for Simba SC come next match with Mtibwa ! Hili kombe linaenda Kenya wadau. Manake sioni timu ya kuizuia Sofapaka katika lile kundi lingine, miamba yote iko kundi hili na imechemshamatokeo leo simba vs sofapaka wametoka 0-0
Mgosi kakosa penalti
Mkuu kumbe Yanga ikishinda unaonekana? Vipi ile website ya Jangwani, imefikia wapi?Yanga 6 Mafunzo 0
Mkuu kumbe Yanga ikishinda unaonekana? Vipi ile website ya Jangwani, imefikia wapi?
Yanga 6 Mafunzo 0
its sofapaka....aah jamani bingwa si anjulikana?hivi hizi timu nyengine zinataka kusumbua bure wachezaji wao
the msimbazi reds are the champions abishae na abishe tu,tusubiri tuone