Lakini kuna karembo hapo Ka Kenya, kanajiita Shrek or something, i think she has a great voice.
Oh! poor smatta, you talk of warembo mbele ya watz, hujawaona wale wasichana wawili wakibongo, yaani carlo na mwenzie wanavyong'ara? hakika wale wasichana Mungu kawaumba aisee, hata wasiposhinda lakini wamewakilisha dada zetu wa kibongo. ni wazuri sana.
nilivyoona hata hivyo, mwaka huu Uganda watachukua tena, yule dada mwenye sura ya kiume anayeimba na sauti kama ya kisauz africa, hakika anaimba sana. atachukua hiii.
kelvin wa tz, nilikuwa napenda atoke siku ya kwanza tu alivyoenda, kwasababu alikuwa hajui anachofanya, alikuwa haonekani kama yuko kwenye mashindano, alikuwa hajui kimombo anajifanya kuongea cha kwenye miziki ya african americans...hahaha, alikuwa anatuaibisha. nilifurahi nilivyoona muda wa kuondoka umefika.
atakayefuata kuondoka, ni yule mtu wa majani wa Rwanda, hahaha, anaimba akinyata kama anavuta bangi.nilicheka hadi nilikaa chini.
atakayefuata kwa hapo, kama hatajirekebisha, ni Carlo, ni mzuri sana wa sura, anajua kimombo, lakini hatoi sauti na anaonekana kama ana hofu kidogo. labda kama atajitahidi, ndo ata watatangulia wale waimba rege wa Rwanda,pamoja na ka Nina.
that girl other than Carlo, anaweza akatuwakilisha kufika mbali. anaweza sana.
kuna kaschana kamoja hivi ka kikenya, ni kazuri lakini hakawazidi wabongo. kana imba vizuri lakini wiki iliyopita kalichemsha.
nikija kwa ng'ang'alito, atatoka, hajui anachofanya, anafanya utani tuuu, anafikiri anaigiza pale. anachekacheka kama kashoga fulani hivi.(nilisikia kenya mashoga wanataka haki kama south na wamejitokeza wanajulikana). I hope that young boy is innocent na kurembua kule hakutakuwa na matatizo kwake.watu wasije wakamuelewa vibaya. anatakiwa achague moja, kama ni comedy, comedy, kama kuimba aimbe, si kila mtu anapenda mwanaume anayerembuarembua.