Tusubiri mechi kati ya Simba Sc na TFF hiyo saa moja.

Tusubiri mechi kati ya Simba Sc na TFF hiyo saa moja.

Kichwa Kichafu

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2017
Posts
44,855
Reaction score
189,385
Kwa sisi Young Africans tumewaachia tuone huo mtanange wa saa moja kati ya Simba Sc Vs TFF.

Mechi na imani watani zangu wataicheza vizuri huku kukiwa na mgeni rasmi ila sisi wananchi tutakuwa tunawatazama kwa TV.

Kila la kheri mtani ile mipango yenu na mbinu mlizopanga kutuonyesha dhidi yetu basi hakikisheni mnamfunga vizuri huyo TFF.

Tuliwasubiri saa kumi na moja hatujawaona uwanjani ila nilivyosikia una mechi nyingine saa moja ikabidi nikuachie uwanja mtani.

TFF kuna kitu mnabidi mjifunze kuendesha league kienyeji kienyeji hizi zama si zake.

Nawasilisha Mzee Mkoloni.

Cc: Kichwa Kichafu
 
Kwa sisi Young Africans tumewaachia tuone huo mtanange wa saa moja kati ya Simba Sc Vs TFF.

Mechi na imani watani zangu wataicheza vizuri huku kukiwa na mgeni rasmi ila sisi wananchi tutakuwa tunawatazama kwa TV.

Kila la kheri mtani ile mipango yenu na mbinu mlizopanga kutuonyesha dhidi yetu basi hakikisheni mnamfunga vizuri huyo TFF.

Tuliwasubiri saa kumi na moja hatujawaona uwanjani ila nilivyosikia una mechi nyingine saa moja ikabidi nikuachie uwanja mtani.

TFF kuna kitu mnabidi mjifunze kuendesha league kienyeji kienyeji hizi zama si zake.

Nawasilisha Mzee Mkoloni.

Cc: Kichwa Kichafu
kufungwa kupo pale pale Yanga hata mcheze usiku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sisi Young Africans tumewaachia tuone huo mtanange wa saa moja kati ya Simba Sc Vs TFF.

Mechi na imani watani zangu wataicheza vizuri huku kukiwa na mgeni rasmi ila sisi wananchi tutakuwa tunawatazama kwa TV.

Kila la kheri mtani ile mipango yenu na mbinu mlizopanga kutuonyesha dhidi yetu basi hakikisheni mnamfunga vizuri huyo TFF.

Tuliwasubiri saa kumi na moja hatujawaona uwanjani ila nilivyosikia una mechi nyingine saa moja ikabidi nikuachie uwanja mtani.

TFF kuna kitu mnabidi mjifunze kuendesha league kienyeji kienyeji hizi zama si zake.

Nawasilisha Mzee Mkoloni.

Cc: Kichwa Kichafu
Ndio mana yule kocha aliwaita NYANI. "Uneducated" Hakuna wa kususa hapo. Ujinga tu ndio unawaongoza. ACHENI MAMBO YA MGANGA NA MUDA
 
Ndio mana yule kocha aliwaita NYANI. "Uneducated" Hakuna wa kususa hapo. Ujinga tu ndio unawaongoza. ACHENI MAMBO YA MGANGA NA MUDA
Mkuu soma ulichokiandika hapa mara mbili mbili kisha jitathimini.
 
TFF nae kakimbia mechi hiyo saa moja.

Mechi yao ya saa moja imehahirishwa pia.
 
Screenshot_20210508-184705_WhatsApp.jpg
wamepindua meza TFF☹
 
Back
Top Bottom