Tutaenda kuvuna mavuno na kuyaacha magugu 28/10/2020

Tutaenda kuvuna mavuno na kuyaacha magugu 28/10/2020

TUNATEKETEZA.
JamiiForums-561822830_720x720.jpg
 
Punguza papara kijana, na ndio maana zilianza Baloon kabla ya airplane. Hakuna mtu atakayekuja kukushushia yote kwa mkupuo, na ndio maana kuna kitu kinaitwa sera na utekelezaji, vyote hivi vinaenda kwa awamu. Mwenda pole hajikwai!
Papara si umwambie apunguze mwenyekiti wako anaetaka kukigeuza kijiji chake kuwa J'berg!
 
Papara si umwambie apunguze mwenyekiti wako anaetaka kukigeuza kijiji chake kuwa J'berg!
Labda kama imetafsiriwa kisheria, kwamba ni haramu kwa mikoa ya viongozi kuendelezwa, utakuwa upo sahihi. Ama sivyo ni muendelezo wa tabia yako mbaya ya kukurupuka.
 
What you wrote you think it’s sense...yet it’s nonsense
 
Kutoka Dodoma ambako ni ngome ya CCM kwa miaka, lkn ndiko umaskini na hali ngumu ya maisha imewatafuna wananchi na wakaazi wa mkoa huo ki sawa sawa. Ajabu ni kwamba, hata wale wanaodhani niwasomi akili zao ndo kama hizi za mtoa mada unategemea nini hapo?

Acha "anduje" awatandike bakora tu ili akili ziwakae sawa sawa nyambaafu
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
 
Back
Top Bottom