Tutaenda mahakamani kwa kupata tafsiri ya Mwenyekiti wa maisha Mzee Mbowe

Tutaenda mahakamani kwa kupata tafsiri ya Mwenyekiti wa maisha Mzee Mbowe

Mbowe ni mwenyekiti wa kudumu, na alishasema sumu haijalibiwi Kwa kulamba
 
Watanzania wote wanaoamini katika demokrasia ni muda muafaka wa kwenda kuomba mahakama itupatie ufafanuzi wa uwepo wa Wenyeviti wa kudumu kwenye hivyo vyama vya siasa.Kwa kuwa imekuwa ni vigumu kuwapata viongozi wapya kwenye hivi vyama kwa njia ya kupiga kura ni vyema tutafute haki kupitia mahakama.
Kasome katiba ya Chadema usiwe popoma
 
Mbowe kakudanganya kuwa hachukui hela za ruzuku na wewe ukaamini? Chadema ruzuku wanavuta kama kawaida na wabunge wenu wale mnawaita sijui COVID 19 huwa wanapeleka milioni 5 kila mwezi Kwa mbowe kila kichwa zidisha mara 19 utajua hela anayovuta mwenyekiti wako wa kudumu!!

Ha ha ha ha 🤣🤣🤣 Yan jamiiforums anaweza kuja mtu kuongea hoja Kwa mabavu ukaona kama ni Jambo la kweli

Hakuna Mbunge wa covid anampa mbowe any amount

Acha story za vijiweni
 
Ijue katiba ya chadema kabla hujakurupuka kujiridhisha na hitaji lako

Kwann ?
Usianze na nafasi ya mwenyekiti ccm kuipinga mana nayenyewe Haina tofauti na chadema ,mana ccm na wao chupa ilele Ila rangi ya mvinyo hua toafuti
 
Back
Top Bottom