Okrap
JF-Expert Member
- Jul 13, 2022
- 1,112
- 2,311
Baada ya kusikiliza hotuba ya rais siku ya wafanyakazi, niligundua tumefanywa wajinga tena kwa kuahidiwa kitu ambacho hakipo.
Hivi hatuwezagi kuandaa maandamano ya kupinga uongo wa wanasiasa, hatuwezagi kuwaondoa ama kuwakataa wanasiasa waongo. Huu ni ujinga mkubwa.
Je tutaendelea kuwa wajinga hadi lini?
Hivi hatuwezagi kuandaa maandamano ya kupinga uongo wa wanasiasa, hatuwezagi kuwaondoa ama kuwakataa wanasiasa waongo. Huu ni ujinga mkubwa.
Je tutaendelea kuwa wajinga hadi lini?