Tutaendelea kuibiwa mpaka lini?

Tutaendelea kuibiwa mpaka lini?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
1. Mfanyabiashara kalipa kodi halali shilingi milioni ishirini na nne, lakini kaandikiwa kalipa milioni tatu. Inawezekana kiasi kilichobaki kimeliwa na wajanja. Hilo limetokea jijini Arusha.

2. Watumishi wa Serikali wajiwekea utaratibu wa kutoa risiti feki na kujipatia mamilioni ya fedha. Tukio ni la Karatu mkoani Arusha.

Inasemekana na mikoa mingine, ingawa sijui kama ni yote, mwendo ni huo pia.

Tutawadhibitije hao wezi?
 
Huyu mfanyabiashara inaonekana ana chembe chembe za uzalendo. Apewe maua yake!
 

Attachments

  • MADUDU_ya_KUTISHA!_MFANYABIASHARA_AMUONESHA_YOTE_MAKONDA_-___UNANIITA_SAA_2_WEWE_UNAFIKA_SAA_4...mp4
    6.6 MB
Watumishi wa Serikali wasio waaminifu wajimilikisha mapato ya Serikali
 

Attachments

  • MAKONDA_AMSIMAMISHA_MKURUGENZI_na_KAMANDA_POLISI_WAELEZE_JAMAA_WALIOKUTWA_na_RISITI_FEKI_WAPO_...mp4
    10.7 MB
Hivi yule aliyekuwa anaiba sh 7m kila dakika kesi yake iliishaje?
 
Anayetakiwa kuwawajibisha huyu hapa naye analia lia na kulaumu wengine. Utawala huu ukija kuisha we mtumishi wa umma haujatajirika basi utakufa masikini!

Screenshot_20240524_211556_Samsung Internet.jpg
 
Back
Top Bottom