ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,491
- 8,304
Salaam wapendwa.
Kila nikipita naona vibao vya fundi maiko vikielekeza shule zetu. Sasa najiuliza yale maneno wanayoweka pale yanawaumbia nini watoto wetu mioyoni mwao? Mie nimesoma shule isiyo na kibao wala ukuta.
Elimu Ni nuru,
Elimu Ni ufunguo wa maisha,
Elimu Ni urithi bora.
Elimu Ni mafanikio.
Mimi shuleni nilikuwa naenda tu ili kuepuka maswali ya kijinga ya mzee baba, maana alikuwa ananiuliza vitu ambavyo hata yeye hana majibu. Mfano akirudi anakuuliza kwanini mwewe kachukua vifaranga? Yule mbuzi alipokata kamba kaenda wapi? Mimi nitajuaje Sasa!!Bora nikashinde shuleni tu.
Shule ni kitu kingine na maisha ni kitu kingine.
Shuleni tunajifunza kuchanganyika na wengine na kuvumiliana tu, siyo kupeana funguo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila nikipita naona vibao vya fundi maiko vikielekeza shule zetu. Sasa najiuliza yale maneno wanayoweka pale yanawaumbia nini watoto wetu mioyoni mwao? Mie nimesoma shule isiyo na kibao wala ukuta.
Elimu Ni nuru,
Elimu Ni ufunguo wa maisha,
Elimu Ni urithi bora.
Elimu Ni mafanikio.
Mimi shuleni nilikuwa naenda tu ili kuepuka maswali ya kijinga ya mzee baba, maana alikuwa ananiuliza vitu ambavyo hata yeye hana majibu. Mfano akirudi anakuuliza kwanini mwewe kachukua vifaranga? Yule mbuzi alipokata kamba kaenda wapi? Mimi nitajuaje Sasa!!Bora nikashinde shuleni tu.
Shule ni kitu kingine na maisha ni kitu kingine.
Shuleni tunajifunza kuchanganyika na wengine na kuvumiliana tu, siyo kupeana funguo.
Sent using Jamii Forums mobile app