Tutafakari kwa pamoja kwanini Dube na Ateba wameanza kufumania nyavu baada ya upako?

Tutafakari kwa pamoja kwanini Dube na Ateba wameanza kufumania nyavu baada ya upako?

Joined
Nov 27, 2024
Posts
43
Reaction score
127
Mpira wa Tanzania ni mgumu sana, mpira wetu ni wa kikwetu kikwetu, wakati mwingine unapowaambia watu kuwa mpira wa Tanzania hauangalia uwezo wa makocha watu wanabisha, mfano mzuri moira unaochezwa na timu yangu ya Simba utasema kuna kocha mle?

Au gusa achie twende kwao kuna mpira pale? Mpira unachezwa sana nje, kocha ni kisingizio tu hapa bongo.

Hapa bongo hata umlete mchezaji gani kutoka Ligi Kuu ya Uingereza au Hispania, wazee wa timu hizi za jadi wakishajua jina lake, jina la mama wa mchezaji huyo, wakachukua jasho la jezi, wakachukua nyasi au mchanga alipokanyaga mchezaji huyo basi amekwisha.

Mifano iko mingi sana, Simba ilimleta Dejan mshambuliaji mzungu ambaye analijua goli sawa sawa, huko alikotoka alikuwa anapachika mabao sio kawaida, amekuja bongo hata dana dana ameshindwa kupiga mzungu yule.

Kituko kingine ni hiki, Simba ilimsajili Leonel Ateba, huyu ni bull striker kweli kweli, alianza kwa kasi sana ya kupachika mabao, lakini kadri siku zinavvyozidi kwenda Ateba Mbida akawa joka la kibisa.Kila akiletewa ndani ya 18 anakosa ama anajigonga mwenyewe.Kuna mtu hapa JF aliwahi kuwaomba viongozi wa simba waangalie Ateba ameshapigwa misumari.

Yanga nako kuna yule Prince Dube, huyu ni striker haswaaa, haihitaji kumwelezea sana kwa sababu Simba na Yanga wote wanamjua.Alipokuwa Azam ameshawafanya vibaya wote hao tena mabao ya kimataifa.

Dube naye akakanyaga, wenzake wanagusa wanaachia wanakwenda kwao akipewa yeye anaanguka, Gusa Achia Twende Kwao ikifika kwa Dube kapokonywa au kaanguka.

Ateba na Dube wajanja waliona hiyo wakawapeleka kwenye upako na mitandao ya kijamii ikawaonyesha mtu mmoja huyo huyo ndio kawafanyia upako Ateba na Dube, ina maana simba na Yanga wanajuana.Kwa sababu aliyewafanyia dawa ni mtu mmoja.

Matokeo ya upako ni nini? Ateba akatumbukiza mawili na alikuwa aondoke na mpira ile juzi basi tu ndio mambo ya mpira, ghafla Dube alianzia kule Congo na sasa hivi kaondoka na mpira jana vs Mashujaa.

Huu ni ushahidi tosha kuwa mpira wa TAnzania una mambo ya hatari sana kuliko tunavyodhania, watu wanaumizana ili waonekane koko, Clatous Chama naye amekwisha kabisa, hana lolote zaidi ya kujivunja mkono apumzike.Matarajio ya Yanga kwake yamepotea kabisa, wengine wanadiriki kusema wamrudishe alikotoka.

Kutokana na hili nina wasiwasi sana wachezaji kama Joshua Mutale, Jean Charles Ahoua, Augustine Okajepha, Mavambo, Mukwara na Kijri watakuwa wameingia katika mfumo wa washirikina, washirikana hawa aidha wanatoka ndani ya timu ama nje ya timu.

Wewe, Joshua Mutale namna anavyocheza sasa hivi ni kituko kabisa uwanjani, Mutale sio SGR tena, Mutale na nyavu anapaisha? Hapana.

Huenda hata Elie Mpanzu akaingia katika kikaango kile kile.Simba iangalieni hilo.
 
Mpira wa Tanzania ni mgumu sana, mpira wetu ni wa kikwetu kikwetu, wakati mwingine unapowaambia watu kuwa mpira wa Tanzania hauangalia uwezo wa makocha watu wanabisha, mfano mzuri moira unaochezwa na timu yangu ya Simba utasema kuna kocha mle?

Au gusa achie twende kwao kuna mpira pale? Mpira unachezwa sana nje, kocha ni kisingizio tu hapa bongo.

Hapa bongo hata umlete mchezaji gani kutoka Ligi Kuu ya Uingereza au Hispania, wazee wa timu hizi za jadi wakishajua jina lake, jina la mama wa mchezaji huyo, wakachukua jasho la jezi, wakachukua nyasi au mchanga alipokanyaga mchezaji huyo basi amekwisha.

Mifano iko mingi sana, Simba ilimleta Dejan mshambuliaji mzungu ambaye analijua goli sawa sawa, huko alikotoka alikuwa anapachika mabao sio kawaida, amekuja bongo hata dana dana ameshindwa kupiga mzungu yule.

Kituko kingine ni hiki, Simba ilimsajili Leonel Ateba, huyu ni bull striker kweli kweli, alianza kwa kasi sana ya kupachika mabao, lakini kadri siku zinavvyozidi kwenda Ateba Mbida akawa joka la kibisa.Kila akiletewa ndani ya 18 anakosa ama anajigonga mwenyewe.Kuna mtu hapa JF aliwahi kuwaomba viongozi wa simba waangalie Ateba ameshapigwa misumari.

Yanga nako kuna yule Prince Dube, huyu ni striker haswaaa, haihitaji kumwelezea sana kwa sababu Simba na Yanga wote wanamjua.Alipokuwa Azam ameshawafanya vibaya wote hao tena mabao ya kimataifa.

Dube naye akakanyaga, wenzake wanagusa wanaachia wanakwenda kwao akipewa yeye anaanguka, Gusa Achia Twende Kwao ikifika kwa Dube kapokonywa au kaanguka.

Ateba na Dube wajanja waliona hiyo wakawapeleka kwenye upako na mitandao ya kijamii ikawaonyesha mtu mmoja huyo huyo ndio kawafanyia upako Ateba na Dube, ina maana simba na Yanga wanajuana.Kwa sababu aliyewafanyia dawa ni mtu mmoja.

Matokeo ya upako ni nini? Ateba akatumbukiza mawili na alikuwa aondoke na mpira ile juzi basi tu ndio mambo ya mpira, ghafla Dube alianzia kule Congo na sasa hivi kaondoka na mpira jana vs Mashujaa.

Huu ni ushahidi tosha kuwa mpira wa TAnzania una mambo ya hatari sana kuliko tunavyodhania, watu wanaumizana ili waonekane koko, Clatous Chama naye amekwisha kabisa, hana lolote zaidi ya kujivunja mkono apumzike.Matarajio ya Yanga kwake yamepotea kabisa, wengine wanadiriki kusema wamrudishe alikotoka.

Kutokana na hili nina wasiwasi sana wachezaji kama Joshua Mutale, Jean Charles Ahoua, Augustine Okajepha, Mavambo, Mukwara na Kijri watakuwa wameingia katika mfumo wa washirikina, washirikana hawa aidha wanatoka ndani ya timu ama nje ya timu.

Wewe, Joshua Mutale namna anavyocheza sasa hivi ni kituko kabisa uwanjani, Mutale sio SGR tena, Mutale na nyavu anapaisha? Hapana.

Huenda hata Elie Mpanzu akaingia katika kikaango kile kile.Simba iangalieni hilo.
Yanga ndio mabingwa wa huu uhuni.Na wakishafanya yao,mjue Simba mtamwacha au kumdharau mchezaji.Hapo utashangaa anasajiliwa na yanga .Mayele walimfunga hadi akalalamika si anawajua vizuri!
Fei Toto walimfunga ila akawahi kutengua
Walimfunga Aubin Kramo, Sasa Mavambo ,Ateba na Mutale.
Anayefuata ni Mpanzu maana msemaji hana simile.Anasema sana wachawi wanaamka na kufanya yao

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Mpira wa Tanzania ni mgumu sana, mpira wetu ni wa kikwetu kikwetu, wakati mwingine unapowaambia watu kuwa mpira wa Tanzania hauangalia uwezo wa makocha watu wanabisha, mfano mzuri moira unaochezwa na timu yangu ya Simba utasema kuna kocha mle?

Au gusa achie twende kwao kuna mpira pale? Mpira unachezwa sana nje, kocha ni kisingizio tu hapa bongo.

Hapa bongo hata umlete mchezaji gani kutoka Ligi Kuu ya Uingereza au Hispania, wazee wa timu hizi za jadi wakishajua jina lake, jina la mama wa mchezaji huyo, wakachukua jasho la jezi, wakachukua nyasi au mchanga alipokanyaga mchezaji huyo basi amekwisha.

Mifano iko mingi sana, Simba ilimleta Dejan mshambuliaji mzungu ambaye analijua goli sawa sawa, huko alikotoka alikuwa anapachika mabao sio kawaida, amekuja bongo hata dana dana ameshindwa kupiga mzungu yule.

Kituko kingine ni hiki, Simba ilimsajili Leonel Ateba, huyu ni bull striker kweli kweli, alianza kwa kasi sana ya kupachika mabao, lakini kadri siku zinavvyozidi kwenda Ateba Mbida akawa joka la kibisa.Kila akiletewa ndani ya 18 anakosa ama anajigonga mwenyewe.Kuna mtu hapa JF aliwahi kuwaomba viongozi wa simba waangalie Ateba ameshapigwa misumari.

Yanga nako kuna yule Prince Dube, huyu ni striker haswaaa, haihitaji kumwelezea sana kwa sababu Simba na Yanga wote wanamjua.Alipokuwa Azam ameshawafanya vibaya wote hao tena mabao ya kimataifa.

Dube naye akakanyaga, wenzake wanagusa wanaachia wanakwenda kwao akipewa yeye anaanguka, Gusa Achia Twende Kwao ikifika kwa Dube kapokonywa au kaanguka.

Ateba na Dube wajanja waliona hiyo wakawapeleka kwenye upako na mitandao ya kijamii ikawaonyesha mtu mmoja huyo huyo ndio kawafanyia upako Ateba na Dube, ina maana simba na Yanga wanajuana.Kwa sababu aliyewafanyia dawa ni mtu mmoja.

Matokeo ya upako ni nini? Ateba akatumbukiza mawili na alikuwa aondoke na mpira ile juzi basi tu ndio mambo ya mpira, ghafla Dube alianzia kule Congo na sasa hivi kaondoka na mpira jana vs Mashujaa.

Huu ni ushahidi tosha kuwa mpira wa TAnzania una mambo ya hatari sana kuliko tunavyodhania, watu wanaumizana ili waonekane koko, Clatous Chama naye amekwisha kabisa, hana lolote zaidi ya kujivunja mkono apumzike.Matarajio ya Yanga kwake yamepotea kabisa, wengine wanadiriki kusema wamrudishe alikotoka.

Kutokana na hili nina wasiwasi sana wachezaji kama Joshua Mutale, Jean Charles Ahoua, Augustine Okajepha, Mavambo, Mukwara na Kijri watakuwa wameingia katika mfumo wa washirikina, washirikana hawa aidha wanatoka ndani ya timu ama nje ya timu.

Wewe, Joshua Mutale namna anavyocheza sasa hivi ni kituko kabisa uwanjani, Mutale sio SGR tena, Mutale na nyavu anapaisha? Hapana.

Huenda hata Elie Mpanzu akaingia katika kikaango kile kile.Simba iangalieni hilo.
Lipia tangazo lako we nabii feki unayejipromo kijanja janja
 
Safari bado ni ndefu sana .maombi yanahusikaje na mpira kama ingekuwa rahisi hivyo wengi wangepata suluhisho la matatizo wanayopitia.

Dube hajapigwa msumari Wala nyundo tatizo kubwa lilikuwa linamsumbua ni kukosa ujasiri hivyo kupelekea performance yake kuwa chini.baada ya maombi kajipa imani kwamba amepona ikapelekea kupata ujasiri na kuzifumania nyavu

Matatizo mengi ya wabongo yanaanzia kwenye saikolojia na kuleta matokeo katika mwili.wengi wetu hatadili na chanzo cha tatizo tunapambania matokeo tunayokumbana nayo...itaendeelea
 
Mpira wa Tanzania ni mgumu sana, mpira wetu ni wa kikwetu kikwetu, wakati mwingine unapowaambia watu kuwa mpira wa Tanzania hauangalia uwezo wa makocha watu wanabisha, mfano mzuri moira unaochezwa na timu yangu ya Simba utasema kuna kocha mle?

Au gusa achie twende kwao kuna mpira pale? Mpira unachezwa sana nje, kocha ni kisingizio tu hapa bongo.

Hapa bongo hata umlete mchezaji gani kutoka Ligi Kuu ya Uingereza au Hispania, wazee wa timu hizi za jadi wakishajua jina lake, jina la mama wa mchezaji huyo, wakachukua jasho la jezi, wakachukua nyasi au mchanga alipokanyaga mchezaji huyo basi amekwisha.

Mifano iko mingi sana, Simba ilimleta Dejan mshambuliaji mzungu ambaye analijua goli sawa sawa, huko alikotoka alikuwa anapachika mabao sio kawaida, amekuja bongo hata dana dana ameshindwa kupiga mzungu yule.

Kituko kingine ni hiki, Simba ilimsajili Leonel Ateba, huyu ni bull striker kweli kweli, alianza kwa kasi sana ya kupachika mabao, lakini kadri siku zinavvyozidi kwenda Ateba Mbida akawa joka la kibisa.Kila akiletewa ndani ya 18 anakosa ama anajigonga mwenyewe.Kuna mtu hapa JF aliwahi kuwaomba viongozi wa simba waangalie Ateba ameshapigwa misumari.

Yanga nako kuna yule Prince Dube, huyu ni striker haswaaa, haihitaji kumwelezea sana kwa sababu Simba na Yanga wote wanamjua.Alipokuwa Azam ameshawafanya vibaya wote hao tena mabao ya kimataifa.

Dube naye akakanyaga, wenzake wanagusa wanaachia wanakwenda kwao akipewa yeye anaanguka, Gusa Achia Twende Kwao ikifika kwa Dube kapokonywa au kaanguka.

Ateba na Dube wajanja waliona hiyo wakawapeleka kwenye upako na mitandao ya kijamii ikawaonyesha mtu mmoja huyo huyo ndio kawafanyia upako Ateba na Dube, ina maana simba na Yanga wanajuana.Kwa sababu aliyewafanyia dawa ni mtu mmoja.

Matokeo ya upako ni nini? Ateba akatumbukiza mawili na alikuwa aondoke na mpira ile juzi basi tu ndio mambo ya mpira, ghafla Dube alianzia kule Congo na sasa hivi kaondoka na mpira jana vs Mashujaa.

Huu ni ushahidi tosha kuwa mpira wa TAnzania una mambo ya hatari sana kuliko tunavyodhania, watu wanaumizana ili waonekane koko, Clatous Chama naye amekwisha kabisa, hana lolote zaidi ya kujivunja mkono apumzike.Matarajio ya Yanga kwake yamepotea kabisa, wengine wanadiriki kusema wamrudishe alikotoka.

Kutokana na hili nina wasiwasi sana wachezaji kama Joshua Mutale, Jean Charles Ahoua, Augustine Okajepha, Mavambo, Mukwara na Kijri watakuwa wameingia katika mfumo wa washirikina, washirikana hawa aidha wanatoka ndani ya timu ama nje ya timu.

Wewe, Joshua Mutale namna anavyocheza sasa hivi ni kituko kabisa uwanjani, Mutale sio SGR tena, Mutale na nyavu anapaisha? Hapana.

Huenda hata Elie Mpanzu akaingia katika kikaango kile kile.Simba iangalieni hilo.
Ulivosema Kocha hana umuhimu Bongo nikaona nisiendelee kusoma huu Utumbo ulioandika
 
kwahali hiyo wale waimba kwaya wa mwamposa si wangekuwa na ballon d'ors
 
Yanga ndio mabingwa wa huu uhuni.Na wakishafanya yao,mjue Simba mtamwacha au kumdharau mchezaji.Hapo utashangaa anasajiliwa na yanga .Mayele walimfunga hadi akalalamika si anawajua vizuri!
Fei Toto walimfunga ila akawahi kutengua
Walimfunga Aubin Kramo, Sasa Mavambo ,Ateba na Mutale.
Anayefuata ni Mpanzu maana msemaji hana simile.Anasema sana wachawi wanaamka na kufanya yao

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Michezo ya kibu denga mwambieni aache kupiga wenzake misumari
 
Mpira wa Tanzania ni mgumu sana, mpira wetu ni wa kikwetu kikwetu, wakati mwingine unapowaambia watu kuwa mpira wa Tanzania hauangalia uwezo wa makocha watu wanabisha, mfano mzuri moira unaochezwa na timu yangu ya Simba utasema kuna kocha mle?

Au gusa achie twende kwao kuna mpira pale? Mpira unachezwa sana nje, kocha ni kisingizio tu hapa bongo.

Hapa bongo hata umlete mchezaji gani kutoka Ligi Kuu ya Uingereza au Hispania, wazee wa timu hizi za jadi wakishajua jina lake, jina la mama wa mchezaji huyo, wakachukua jasho la jezi, wakachukua nyasi au mchanga alipokanyaga mchezaji huyo basi amekwisha.

Mifano iko mingi sana, Simba ilimleta Dejan mshambuliaji mzungu ambaye analijua goli sawa sawa, huko alikotoka alikuwa anapachika mabao sio kawaida, amekuja bongo hata dana dana ameshindwa kupiga mzungu yule.

Kituko kingine ni hiki, Simba ilimsajili Leonel Ateba, huyu ni bull striker kweli kweli, alianza kwa kasi sana ya kupachika mabao, lakini kadri siku zinavvyozidi kwenda Ateba Mbida akawa joka la kibisa.Kila akiletewa ndani ya 18 anakosa ama anajigonga mwenyewe.Kuna mtu hapa JF aliwahi kuwaomba viongozi wa simba waangalie Ateba ameshapigwa misumari.

Yanga nako kuna yule Prince Dube, huyu ni striker haswaaa, haihitaji kumwelezea sana kwa sababu Simba na Yanga wote wanamjua.Alipokuwa Azam ameshawafanya vibaya wote hao tena mabao ya kimataifa.

Dube naye akakanyaga, wenzake wanagusa wanaachia wanakwenda kwao akipewa yeye anaanguka, Gusa Achia Twende Kwao ikifika kwa Dube kapokonywa au kaanguka.

Ateba na Dube wajanja waliona hiyo wakawapeleka kwenye upako na mitandao ya kijamii ikawaonyesha mtu mmoja huyo huyo ndio kawafanyia upako Ateba na Dube, ina maana simba na Yanga wanajuana.Kwa sababu aliyewafanyia dawa ni mtu mmoja.

Matokeo ya upako ni nini? Ateba akatumbukiza mawili na alikuwa aondoke na mpira ile juzi basi tu ndio mambo ya mpira, ghafla Dube alianzia kule Congo na sasa hivi kaondoka na mpira jana vs Mashujaa.

Huu ni ushahidi tosha kuwa mpira wa TAnzania una mambo ya hatari sana kuliko tunavyodhania, watu wanaumizana ili waonekane koko, Clatous Chama naye amekwisha kabisa, hana lolote zaidi ya kujivunja mkono apumzike.Matarajio ya Yanga kwake yamepotea kabisa, wengine wanadiriki kusema wamrudishe alikotoka.

Kutokana na hili nina wasiwasi sana wachezaji kama Joshua Mutale, Jean Charles Ahoua, Augustine Okajepha, Mavambo, Mukwara na Kijri watakuwa wameingia katika mfumo wa washirikina, washirikana hawa aidha wanatoka ndani ya timu ama nje ya timu.

Wewe, Joshua Mutale namna anavyocheza sasa hivi ni kituko kabisa uwanjani, Mutale sio SGR tena, Mutale na nyavu anapaisha? Hapana.

Huenda hata Elie Mpanzu akaingia katika kikaango kile kile.Simba iangalieni hilo.
Bado Azizi Key
 
Back
Top Bottom