Tutafakari pamoja kuhusu washirika wa Mbowe

Tutafakari pamoja kuhusu washirika wa Mbowe

MIGNON

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2009
Posts
4,108
Reaction score
5,110
Nimeiona clip ya Mbowe akiingia mahakamani na akitoka pia.Nimesikiliza maelezo ya mrema kuhusu kilichojiri mahakamani.Nimewasikia kina mama wakiomba.
Najaribu kuwaza hisia za watu ambao walibahatika kuwa karibu sana na Mbowe,Wilbroad Slaa ambaye alikuwa katibu mkuu aliyepitia misukosuko mingi.Aliwahi kuwekewa hata kinasa sauti uvunguni!Namuwazia Lowassa ambaye alikikoroga CCM lakini wakampokea.pia na Sumaye.Lakini hivi karibuni Mashinji ambaye aliibuliwa alipokuwepo mpaka kuwa katibu mkuu (tena wakati wa kipindi cha ruzuku nzito).Najaribu kutafakari hisia za watu hawa wazito,wana hisia gani na kinachomtokea aliyekuwa swahiba wao.Natamani kujua labda nitapata la kujifunza !!!!!!!!
 
Nimeiona clip ya Mbowe akiingia mahakamani na akitoka pia.Nimesikiliza maelezo ya mrema kuhusu kilichojiri mahakamani.Nimewasikia kina mama wakiomba.
Najaribu kuwaza hisia za watu ambao walibahatika kuwa karibu sana na Mbowe,Wilbroad Slaa ambaye alikuwa katibu mkuu aliyepitia misukosuko mingi.Aliwahi kuwekewa hata kinasa sauti uvunguni!Namuwazia Lowassa ambaye alikikoroga CCM lakini wakampokea.pia na Sumaye.Lakini hivi karibuni Mashinji ambaye aliibuliwa alipokuwepo mpaka kuwa katibu mkuu (tena wakati wa kipindi cha ruzuku nzito).Najaribu kutafakari hisia za watu hawa wazito,wana hisia gani na kinachomtokea aliyekuwa swahiba wao.Natamani kujua labda nitapata la kujifunza !!!!!!!!
Linapokuwa ni suala la ulaji, mwanasiasa yuko tayari kumkana hata baba yake ili tu aendelee kupata ulaji.
 
Nimeiona clip ya Mbowe akiingia mahakamani na akitoka pia.Nimesikiliza maelezo ya mrema kuhusu kilichojiri mahakamani.Nimewasikia kina mama wakiomba.
Najaribu kuwaza hisia za watu ambao walibahatika kuwa karibu sana na Mbowe,Wilbroad Slaa ambaye alikuwa katibu mkuu aliyepitia misukosuko mingi.Aliwahi kuwekewa hata kinasa sauti uvunguni!Namuwazia Lowassa ambaye alikikoroga CCM lakini wakampokea.pia na Sumaye.Lakini hivi karibuni Mashinji ambaye aliibuliwa alipokuwepo mpaka kuwa katibu mkuu (tena wakati wa kipindi cha ruzuku nzito).Najaribu kutafakari hisia za watu hawa wazito,wana hisia gani na kinachomtokea aliyekuwa swahiba wao.Natamani kujua labda nitapata la kujifunza !!!!!!!!
ulaji upo ccm hivyo wote wamerudia matapishi yao
 
Nimeiona clip ya Mbowe akiingia mahakamani na akitoka pia.Nimesikiliza maelezo ya mrema kuhusu kilichojiri mahakamani.Nimewasikia kina mama wakiomba.
Najaribu kuwaza hisia za watu ambao walibahatika kuwa karibu sana na Mbowe,Wilbroad Slaa ambaye alikuwa katibu mkuu aliyepitia misukosuko mingi.Aliwahi kuwekewa hata kinasa sauti uvunguni!Namuwazia Lowassa ambaye alikikoroga CCM lakini wakampokea.pia na Sumaye.Lakini hivi karibuni Mashinji ambaye aliibuliwa alipokuwepo mpaka kuwa katibu mkuu (tena wakati wa kipindi cha ruzuku nzito).Najaribu kutafakari hisia za watu hawa wazito,wana hisia gani na kinachomtokea aliyekuwa swahiba wao.Natamani kujua labda nitapata la kujifunza !!!!!!!!

kunakipindi nchi ilishawahi kuongozwa na kiongozi mwenye cheti cha mirembe
 
Yes, umeibua swali na mjadala mzuri sana...

Kwamba, hawa watu wanamwelewa vipi Freeman Mbowe ambaye kati yao wote ameshakuwa M/kiti wao kwa nyakati tofauti...

Kwamba, kwa jinsi wanavyomwelewa Mbowe, anaweza kuwa gaidi kweli...?.

Hebu wajitokeze waseme ukweli wao wote bila kushinikizwa na mtu wala kulaghaiwa na CCM....
 
Back
Top Bottom