Tutafika jamani ??????????

Tutafika jamani ??????????

mamkey

Member
Joined
Apr 5, 2012
Posts
25
Reaction score
5
Kila nkipeleka nyaraka zangu wakubwa wanapotezea tatizo langu badala yeke wanarise interest kwangu na kunisumbua bila mafanikio jamani hivi mpaka lini wakat wao ndio wameshikilia makali ????Jamani Tanzania nchi yangu.
 
ongea nao vizuri, au wanataka RASILIMWILI!?
 
Tanzania sio nchi yako ni nchi ya wenye meno.
"YOU HAVE TO GIVE WHAT YOU HAVE IN ORDER TO GET WHAT YOU WANT"
 
Back
Top Bottom