Tutafundisha watu adabu kipindi hiki!

Tutafundisha watu adabu kipindi hiki!

Extrovert

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2016
Posts
70,785
Reaction score
186,690
Na sipendi kusema maneno mengi kwa kweli kwa sababu unajua pia unapofundishwa adabu vizuri ni vizuri ukaipata by suprise!

Ukasema eeh ndo imekuwa hivyo?!...Aah Ndio imekuwa hivyo mjomba...imeisha hioo unanielewa? Utafute kazi ingine ~ Humphrey Polepole katibu mwenezi mstaafu


Nafikiri sasa ni muda wa kijana mwenzetu nae kupractice maagizo yake, hii inatufundisha cheo dhamana😅
 
Na sipendi kusema maneno mengi kwa kweli kwa sababu unajua pia unapofundishwa adabu vizuri ni vizuri ukaipata by suprise!

Ukasema eeh ndo imekuwa hivyo?!...Aah Ndio imekuwa hivyo mjomba...imeisha hioo unanielewa? Utafute kazi ingine ~ Humphrey Polepole katibu mwenezi mstaafu
View attachment 2040545

Nafikiri sasa ni muda wa kijana mwenzetu nae kupractice maagizo yake, hii inatufundisha cheo dhamana😅
Nzee was viieetee imekuwaje tena?
 
Na sipendi kusema maneno mengi kwa kweli kwa sababu unajua pia unapofundishwa adabu vizuri ni vizuri ukaipata by suprise!

Ukasema eeh ndo imekuwa hivyo?!...Aah Ndio imekuwa hivyo mjomba...imeisha hioo unanielewa? Utafute kazi ingine ~ Humphrey Polepole katibu mwenezi mstaafu
View attachment 2040545

Nafikiri sasa ni muda wa kijana mwenzetu nae kupractice maagizo yake, hii inatufundisha cheo dhamana😅
Hana adabu huyu anataka kushindana na mamlaka
Alishalewa pesa za decoration

Ova
 
Eeh ukiwa kwenye kuku kutoa maagizo ya wenzio wajiajiri ama wafanye ujasiriamali ni jambo jepesi sana kama kupekenyua minofu ya paja!

Ukishatupwa mtaani ndo akili ambapo inarejea sasa na kuona alaaa kumbe huku jua huwa ni kali namna hii?
Sasa mtu hajawahi hata ku hustle
Kufanya biashara yyte
Wao wanaishiaa kuongea
Aje mtaani afanye aone

Ova
 
Hana adabu huyu anataka kushindana na mamlaka
Alishalewa pesa za decoration

Ova
Dawa yake ndogo tu kupiga pini acc. zenye hela zake za upigaji zile😅 wakimtia spana atanywea ghafla tu kama alivyonywea jasusi mbobezi na kubaki analia lia tu kwenye midia😅
 
Hakika kila zama na kitabu chake. Bahati mbaya zama ya Polepole imekuwa fupi mno ikaisha ghafla bila kutarajia.
 
Dawa yake ndogo tu kupiga pini acc. zenye hela zake za upigaji zile😅 wakimtia spana atanywea ghafla tu kama alivyonywea jasusi mbobezi na kubaki analia lia tu kwenye midia😅
Kabisa....

Lazima aheshimu na atii mamlaka

Ova
 
Na sipendi kusema maneno mengi kwa kweli kwa sababu unajua pia unapofundishwa adabu vizuri ni vizuri ukaipata by suprise!

Ukasema eeh ndo imekuwa hivyo?!...Aah Ndio imekuwa hivyo mjomba...imeisha hioo unanielewa? Utafute kazi ingine ~ Humphrey Polepole katibu mwenezi mstaafu
View attachment 2040545

Nafikiri sasa ni muda wa kijana mwenzetu nae kupractice maagizo yake, hii inatufundisha cheo dhamana😅
Toka jiwe amevuta , slow slow kama amedata vile. Kuna anayemuelewa?
 
Eeh ukiwa kwenye kuku kutoa maagizo ya wenzio wajiajiri ama wafanye ujasiriamali ni jambo jepesi sana kama kupekenyua minofu ya paja!

Ukishatupwa mtaani ndo akili ambapo inarejea sasa na kuona alaaa kumbe huku jua huwa ni kali namna hii?
Kiroboto kinawasha
 
Back
Top Bottom