Tutafutane hapa jamani

Tutafutane hapa jamani

Ah wee unaniangusha mzee mwezangu...au wee yanga 🤣🤣🤣🤣 Sii caf champions league robo final inaanza leo usiku saa tano
Siwezi kuwa yanga,japo simba nao nimeshaachana nae kitambo sana

Sasa mzee mwenzangu CAF unaibetiaje?hakuna nachojua huko
 
Sii zipo kwenye list ya kubet ama
Kwani zilizopo kwenye list ya kubet lazima ubet?mfano mimi sijawahi kabisa kubet league ya South Africa,Algeria,Morocco,Japan,Korea,Brazil na nyingine kibao lakini kwenye list ya kubet zipo
 
Kwani zilizopo kwenye list ya kubet lazima ubet?mfano mimi sijawahi kabisa kubet league ya South Africa,Algeria,Morocco,Japan,Korea,Brazil na nyingine kibao lakini kwenye list ya kubet zipo
Ok...wee ulaya tuu
 
Njo uchukue umenlemea upo kama tani 2. Njo chap.
 
Age: √(32)×2(2.9)= ___
Nahitaji wale ma-geneous wenzangu tuonane!!
Kuna kazi tuifanya chap
 
HUDUMA : FASTA & PROFESIONAL
- KUSAJILI KAMPUNI 125,000/-
-KUSAJILI JINA LA BIASHARA 10,000/-

+HESABU ZA KAMPUNI & KODI - (AUDITED REPORT)
+TRA RETURN
+VAT RETURN
+SDL
+PAYE
=BRELA RETURN

PIGA/WATSUP SASA: 0788 104 228
 

Attachments

  • 20221102_102733.png
    20221102_102733.png
    300.1 KB · Views: 14
Back
Top Bottom