Siwezi kuwa yanga,japo simba nao nimeshaachana nae kitambo sanaAh wee unaniangusha mzee mwezangu...au wee yanga 🤣🤣🤣🤣 Sii caf champions league robo final inaanza leo usiku saa tano
Sii zipo kwenye list ya kubet amaSiwezi kuwa yanga,japo simba nao nimeshaachana nae kitambo sana
Sasa mzee mwenzangu CAF unaibetiaje?hakuna nachojua huko
Kwani zilizopo kwenye list ya kubet lazima ubet?mfano mimi sijawahi kabisa kubet league ya South Africa,Algeria,Morocco,Japan,Korea,Brazil na nyingine kibao lakini kwenye list ya kubet zipoSii zipo kwenye list ya kubet ama
Ok...wee ulaya tuuKwani zilizopo kwenye list ya kubet lazima ubet?mfano mimi sijawahi kabisa kubet league ya South Africa,Algeria,Morocco,Japan,Korea,Brazil na nyingine kibao lakini kwenye list ya kubet zipo
Depay[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Depal
Miaka 12
Sitafuti chochote
MAGAZIJUTOAge: √(32)×2(2.9)= ___
Nahitaji wale ma-geneous wenzangu tuonane!!
Kuna kazi tuifanya chap
Mchumba tu ushapata.Depal
Miaka 12
Sitafuti chochote