Tutafutiwe milioni 54 na Magufuli

Tutafutiwe milioni 54 na Magufuli

Kama idadi ya watanzania ni milioni 54, kwanini serikali isitutafutie sh milioni 54. Hapo kila mtanzania atapata milioni 1 tufanye biashara
Haiwezi sababu IQ yako ni ndogo[emoji1][emoji1]
 
Ndio maana ulibaniwa kua air hostess wa ATCL[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Mabadilikoooo Lowasa, Lowasa Mabadilikooo [emoji23] those days sasa
 
mwalimu wako wa hisabati ana hasara sana.

najua huu ni utani.
 
Nyie ndio wale mlioacha kuzingatia hesabu za kujumlisha,kuzidisha,kugawa na kutoa nyie mkakimbilia kutafuta thamani ya X.
 
Back
Top Bottom