GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,880
- 11,134
Tuibe kwa staha, heshima, Nidhamu na tuibe kwa kujisitiri sisi na tuisitiri mamlaka, Baadae tutafanya toba na kusamehewa na wananchi na hii inaitwa" STOLEN CAPACITY". The maximum amount of loss that you can get if the highest authority know what you have done during the process of stealing
Mimi Gussie nitaiba na nitajitahidi kuwa na level nzuri ya Stolen Capacity Katika awamu hii ya sita, Mamlaka wamesema stolen capacity iwe at least urefu wa Kamba yako, Lakini hajasema Kamba ya aina gani kuna Kamba zenye mnyumbuliko
Ninayaongea haya kwa kuwa hakuna utajiri wa uhalali, Wengi mali zetu zimepatikana kwa dhuluma na madili, Wapo waliochukua rushwa, waliofoji safari mbalimbali wapate pesa, Wapo walioiba na wapo wanaorogana ili kupata safari na hili mwenyekiti wa ccm Mama Samia amelisema wazi Waziri na manaibu wanapigania Safari
Nilipandisha uzi huu Nitaendelea kutoa rushwa na kuwashangilia mafisadi
Pesa imeanza kuzunguka ni vyema ukala kwa urefu wa Kamba yako, Na hili limesisitizwa na mwenyekiti mwenyewe wa chama chetu cha ccm
Mimi binafsi nitajitahidi kula kwa urefu wa mkono wangu na sio Kamba, Kama una mkono mfupi utapata taabu sana awamu hii ya sita, Naongelea wenye mkono wa birika
Ukila kwa urefu wa kamba mara nyingi Kamba ya mbuzi au Ng'ombe ni ndefu sana unaweza kutana na visiki ukashindwa kuchomoka au Kamba ikajikunja kunja na kuacha alama kwa Mamlaka, Ni vyema kula kwa urefu wa mkono wako
Kuiba na kutubu sio dhambi, Dhambi ni Kuiba kwa kudhamiria toka moyoni na hii itahitaji toba. Kusaidia mtu ili afanikiwe na yeye kukuachia takrima sio dhambi kwani msaada wako utazaa mlinganyo mrefu kwa aliyesaidiwa watoto na ndugu zake na waliosoma uchumi wanaita Multiplier effect
Mwenyekiti pia amekazia umuhimu wa CONNECTION pale unapoona kuna watu Ukiwavuta watakusaidia hasa kwenye hizi ajira, Hii sio dhambi kwani dhamiri ni kusaidia jamii ipate maendeleo. Muhimu wale wana CCM watakaovutwa na wao wajishikilie zaidi
Uwazi huu wa Mama ni wa kuunga mkono, Hakuna siri kila mtu hapa ni Mwizi sema tuna tofautiana level na mirija ya upigaji, Hizi Mali tulizonazo kama zingekuwa na mdomo wa kuongea wengi tungeabika hapa duniani
Tuendelee kutubu kila wakati, Unaiba kidogo unatubu ndio maisha yenyewe hayo, The cycle looks like the sphere but sometimes for kids they say it looks like an egg shape. Tuibe kwa tahadhari na heshima uwe umeiba duara au yai Mwizi ni Mwizi tu, kikubwa tumeshapewa Benchmark au msingi wa kuanzia kula yaani tule kwa urefu wa Kamba zetu
Mimi Gussie nitaiba na nitajitahidi kuwa na level nzuri ya Stolen Capacity Katika awamu hii ya sita, Mamlaka wamesema stolen capacity iwe at least urefu wa Kamba yako, Lakini hajasema Kamba ya aina gani kuna Kamba zenye mnyumbuliko
Ninayaongea haya kwa kuwa hakuna utajiri wa uhalali, Wengi mali zetu zimepatikana kwa dhuluma na madili, Wapo waliochukua rushwa, waliofoji safari mbalimbali wapate pesa, Wapo walioiba na wapo wanaorogana ili kupata safari na hili mwenyekiti wa ccm Mama Samia amelisema wazi Waziri na manaibu wanapigania Safari
Nilipandisha uzi huu Nitaendelea kutoa rushwa na kuwashangilia mafisadi
Pesa imeanza kuzunguka ni vyema ukala kwa urefu wa Kamba yako, Na hili limesisitizwa na mwenyekiti mwenyewe wa chama chetu cha ccm
Mimi binafsi nitajitahidi kula kwa urefu wa mkono wangu na sio Kamba, Kama una mkono mfupi utapata taabu sana awamu hii ya sita, Naongelea wenye mkono wa birika
Ukila kwa urefu wa kamba mara nyingi Kamba ya mbuzi au Ng'ombe ni ndefu sana unaweza kutana na visiki ukashindwa kuchomoka au Kamba ikajikunja kunja na kuacha alama kwa Mamlaka, Ni vyema kula kwa urefu wa mkono wako
Kuiba na kutubu sio dhambi, Dhambi ni Kuiba kwa kudhamiria toka moyoni na hii itahitaji toba. Kusaidia mtu ili afanikiwe na yeye kukuachia takrima sio dhambi kwani msaada wako utazaa mlinganyo mrefu kwa aliyesaidiwa watoto na ndugu zake na waliosoma uchumi wanaita Multiplier effect
Mwenyekiti pia amekazia umuhimu wa CONNECTION pale unapoona kuna watu Ukiwavuta watakusaidia hasa kwenye hizi ajira, Hii sio dhambi kwani dhamiri ni kusaidia jamii ipate maendeleo. Muhimu wale wana CCM watakaovutwa na wao wajishikilie zaidi
Uwazi huu wa Mama ni wa kuunga mkono, Hakuna siri kila mtu hapa ni Mwizi sema tuna tofautiana level na mirija ya upigaji, Hizi Mali tulizonazo kama zingekuwa na mdomo wa kuongea wengi tungeabika hapa duniani
Tuendelee kutubu kila wakati, Unaiba kidogo unatubu ndio maisha yenyewe hayo, The cycle looks like the sphere but sometimes for kids they say it looks like an egg shape. Tuibe kwa tahadhari na heshima uwe umeiba duara au yai Mwizi ni Mwizi tu, kikubwa tumeshapewa Benchmark au msingi wa kuanzia kula yaani tule kwa urefu wa Kamba zetu