saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 624
- 1,456
Pamoja na kwamba Dk. Tulia Ackson ni mzito kuunda tume za kibunge kuchunguza mambo yenye sintofahamu yanayowasibu wananchi.
Tutumie haki yetu ya kikatiba kumtaka kuunda tume ili kuleta majibu ya mambo yanayolisumbua Taifa kwa sasa.
Hebu tuorodheshe mambo makubwa ambayo tunataka Bunge liunde tume za kiuchunguzi kwa niaba ya wananchi
Tutumie haki yetu ya kikatiba kumtaka kuunda tume ili kuleta majibu ya mambo yanayolisumbua Taifa kwa sasa.
Hebu tuorodheshe mambo makubwa ambayo tunataka Bunge liunde tume za kiuchunguzi kwa niaba ya wananchi