ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
1. Kubandika kitu na kukisahau halafu ukaenda dukani. Masufuria yetu yenyewe kwa sasa ni mepesi sana dakika kumi ukijisahau ukatoka unaweza kurudi kukuta chakula kimeungua chote. Sasa baada ya Chakula huwa ni zamu ya sufuria kuyeyuka na kisha kwenda pale kwenye pipe inapoungwa na kisha inalipuka..
2. Kingine ni ulevi, aisee kama unaishi ki bachelor na una jiko la single plate nakushauri acha kabisa kupasha chakula ikiwa umelewa acha kabisa kupika ukiwa umewaka Mapombe huko kwa vyumba vyetu vidogo Hivi gas sijui huwa inachochea kausingizi ukisema uegeshe tu umekwisha..
3. Pipe kukunjika na Hatimaye leakage.. Pipe inyoke vizuri hasa Kwa majiko ya plate mbili.. Pipe isijikunje.
4. Kuingia na jiko la mkaa au sigara karibu na jiko la gas..
Tuzidi kuwa makini.Hata Ka gas kadogo tu kakilipuka ukaonyeshwa vipande vilivyolitoboa bati ndo utaamini kwamba gas ni hatari mno.
2. Kingine ni ulevi, aisee kama unaishi ki bachelor na una jiko la single plate nakushauri acha kabisa kupasha chakula ikiwa umelewa acha kabisa kupika ukiwa umewaka Mapombe huko kwa vyumba vyetu vidogo Hivi gas sijui huwa inachochea kausingizi ukisema uegeshe tu umekwisha..
3. Pipe kukunjika na Hatimaye leakage.. Pipe inyoke vizuri hasa Kwa majiko ya plate mbili.. Pipe isijikunje.
4. Kuingia na jiko la mkaa au sigara karibu na jiko la gas..
Tuzidi kuwa makini.Hata Ka gas kadogo tu kakilipuka ukaonyeshwa vipande vilivyolitoboa bati ndo utaamini kwamba gas ni hatari mno.