Tutaje tozo ambazo zimependekezwa kwenye msaada wa bajeti ambazo zinaweza leta maumivu Ili zirekebishwe kabla ya vilio kusikika kuanzia July 1

Tutaje tozo ambazo zimependekezwa kwenye msaada wa bajeti ambazo zinaweza leta maumivu Ili zirekebishwe kabla ya vilio kusikika kuanzia July 1

Mimi naona hiyo wako sawa Kwa sababu wamesema inalenga kuleta usawa kati ya wanaotumia Mafuta na gesi.

Hata hivyo bei ya gesi Iko chini sana hata wakiongeza hiyo 380 haitafika 2,000 kwa Lita .

Mwisho wamesema ni hela ya mfukonwa Barabara.
Nchi hii linaongozwa na watu wajinga sana. Agenda ya dunia sasa hivi ni kupunguza hewa ya ukaa, sasa wanapopandisha bei ya gesi asilia maanake wanataka watu wasihamasike kubadili mifumo ya gari kwenda kwenye matumizi ya gesi asilia. Sasa hivi wana-test wakiona raia wanahimili hiyo bei mwakani wataongeza tena na muda si mrefu italingana na bei ya mafuta! Wangekuwa na akili tena wangepunguza bei ya gesi asilia ili nchi nzima tutumie gesi asilia badala ya mafuta na hapo tungeokoa fedha za kigeni!
 
Nchi hii linaongozwa na watu wajinga sana. Agenda ya dunia sasa hivi ni kupunguza hewa ya ukaa, sasa wanapopandisha bei ya gesi asilia maanake wanataka watu wasihamasike kubadili mifumo ya gari kwenda kwenye matumizi ya gesi asilia. Sasa hivi wana-test wakiona raia wanahimili hiyo bei mwakani wataongeza tena na muda si mrefu italingana na bei ya mafuta! Wangekuwa na akili tena wangepunguza bei ya gesi asilia ili nchi nzima tutumie gesi asilia badala ya mafuta na hapo tungeokoa fedha za kigeni!
Bei itapanda ila haiwezi kuwa sawa na Mafuta lazima iwe chini Ili kuwezesha Uhamiaji.

Asante Kwa kushiriki 😂😂
 
Nchi hii linaongozwa na watu wajinga sana. Agenda ya dunia sasa hivi ni kupunguza hewa ya ukaa, sasa wanapopandisha bei ya gesi asilia maanake wanataka watu wasihamasike kubadili mifumo ya gari kwenda kwenye matumizi ya gesi asilia. Sasa hivi wana-test wakiona raia wanahimili hiyo bei mwakani wataongeza tena na muda si mrefu italingana na bei ya mafuta! Wangekuwa na akili tena wangepunguza bei ya gesi asilia ili nchi nzima tutumie gesi asilia badala ya mafuta na hapo tungeokoa fedha za kigeni!
Mkuu naunga mkono hoja yako wanaposema wanaongeza Kodi ili ilingane na Mafuta kwangu Mimi hii ni kauli ya kipumbavu kwa sababu mpaka sasa sisi Wananchi tunalalamika bei ya Mafuta ipo juu sasa wao wanaotaka na bei ya gesi iwe juu vilevile?
Badala ya kutafuta njia ya kumpunguzia makali ya maisha Mwananchi wa chini wao wanatafuta njia ya kumuongezea maumivu
 
Mkuu naunga mkono hoja yako wanaposema wanaongeza Kodi ili ilingane na Mafuta kwangu Mimi hii ni kauli ya kipumbavu kwa sababu mpaka sasa sisi Wananchi tunalalamika bei ya Mafuta ipo juu sasa wao wanaotaka na bei ya gesi iwe juu vilevile?
Badala ya kutafuta njia ya kumpunguzia makali ya maisha Mwananchi wa chini wao wanatafuta njia ya kumuongezea maumivu
Hadi umenunua gari manake wewe una kipato ,Wacha kelele 😂
 
Serikali imetoa mapendekezo ya Bajeti yake Kwa mwaka 2024/25 yenye zaidi ya Shilingi Trilioni 49.3 na kuainisha vyanzo vya pesa hiyo na matumizi yake.

Ni vyema Sasa Wananchi na wadau tujikite kutoa maoni ambayo yatasaidia mjadala wa Bajeti Ili kama Kuna tozo unaona haiko sawa uibainishe na njia Mbadala.

Binafsi Kwa sehemu kubwa Bajeti ya Serikali nimeona Iko vizuri isipokuwa kasoro ndogo ndogo.

Mojawapo ya tozo iliyopendekezwa na ambayo haijabainishwa wazi jinsi gani itatozwa na watatozwa kina nani ni hii inaitwa tozo ya miundombinu (infrastructure levy).Waziri anasema itaingia mfuko wa Dharura Ili kupata hela za ku deal na majanga lakini haijabainishwa wazi kama itatozwa kwenye Mafuta,au Kwa wamiliki wa vyombo vya usafiri au Kwa utaratibu gani.

Wakati wa mjadala ni vyema ielezwe itakuwa kiasi gani na watakaotozwa ni kina nani.

Aidha account hiyo in case pesa haijatumika usalama wa pesa hizo itakuaje? Na nani watakuwa na amri ya kutoa hizo hela? Na Je tunaweza kufahamishwa ni kiasi gani kinatarajiwa kupatikana?

Kimsingi maswali ni mengi maana isijekuwa ni account ya kupigia pesa zetu Kwa sababu Nchi hii Viongozi Kwa sehemu kubwa hawaaminiki.

Naomba kutoa hoja 👇👇

Mama anakopa kujenga madarasa kwa ushauri wa Dr mchumi mwigulu. ni hatari sana
 
Back
Top Bottom