ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Kuna watu ambao hata Kama sijaelewa alichoandika au sikubaliani naye lakini lazima nimpe tu like [emoji106]..kwa jinsi tu wanavyowasilisha wananishawishi Sana.nashindwa kabisa kuwanyima like
1.paschal mayala
2.nokia83
3.mshana Jr
4.mo11
Kwangu Mimi hizo ndo ID ambazo chochote watakachosema Mimi fasta tu like Kama zote [emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
1.paschal mayala
2.nokia83
3.mshana Jr
4.mo11
Kwangu Mimi hizo ndo ID ambazo chochote watakachosema Mimi fasta tu like Kama zote [emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]