Tutajie JF members wa nne ambao kila mchango wao lazima wale like [emoji106] yako

Tutajie JF members wa nne ambao kila mchango wao lazima wale like [emoji106] yako

Kuna watu ambao hata Kama sijaelewa alichoandika au sikubaliani naye lakini lazima nimpe tu like [emoji106]..kwa jinsi tu wanavyowasilisha wananishawishi Sana.nashindwa kabisa kuwanyima like
1.paschal mayala
2.nokia83
3.mshana Jr
4.mo11
Kwangu Mimi hizo ndo ID ambazo chochote watakachosema Mimi fasta tu like Kama zote [emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
Duuuhhh sijategemea
thanks kwa kweli
 
Back
Top Bottom