Tutajie uzi bora ambao hujawahi jutia kuusoma hapa JF

Tutajie uzi bora ambao hujawahi jutia kuusoma hapa JF

Meshacky Allyson

Senior Member
Joined
Oct 29, 2020
Posts
127
Reaction score
251
Wakuuu, Habari zenu, Binafsi nimejifunza mengi hapa Jamii forums kupitia machapisho au Nyuzi za hapa JF, ziko nyingii za miaka na miaka, nyingine zina burudisha, kufundisha nk.

Leo hebu tutajiane ni uzi upi uliupenda sana hapa JF, na uliandikwa na nani kama unamkumbuka ututajie itapendeza sana. Wengine hawana muda mrefu hapa JF hivyo utawasaidie kupata nyuzi nzuri za miaka ya nyuma na wao kujifunza na kutokukosa uhondo huo..[emoji3577].

Nafikiri kila baada ya mwezi tupate uzi bora wa mwezi huo, hii inaweza leta chachu na ubora ktk kuandika mambo yanayoweza kutusaidia ktk maisha ya kila siku.
 
Wakuuu , Habari zenu , Binafsi nimejifunza mengi hapa jamii forums kupitia machapisho au Nyuzi za hapa JF, ziko nyingii za miaka na miaka, nyingine zina burudisha, kufundisha nk.

Leo hebu tutajiane ni uzi upi uliupenda sana hapa JF, na uliandikwa na nani kama unamkumbuka ututajie itapendeza sana. Wengine hawana muda mrefu hapa JF hivyo utawasaidie kupata nyuzi nzuri za miaka ya nyuma na wao kujifunza na kutokukosa uhondo huo..[emoji3577].

Nafikiri kila baada ya mwezi tupate uzi bora wa mwezi huo, hii inaweza leta chachu na ubora ktk kuandika mambo yanayoweza kutusaidia ktk maisha ya kila siku.
Siti ya kwanza kulia.
"Ulishawai kula tunda kimasihara"
 
Zote TU,kuandika aandike mwingine kwann majuto nipate Mimi🥴
 
Unazungumzia ubora kweny nin Kuna nyuzi hazivutii Kwa kusoma ila zimebeba ujumbe mkubwa na madini ya kutosha na Kuna nyuzi zinavutia Kwa kusoma ila zinanaburudisha tu na pia usisahau Kuna watu hawashushi nyuzi ila kweny comment wanatema madini kweli kweli zaidi ya nyuzi mim binafsi napima ubora kweny ule ujumbe nao pata kama Kuna jamaa alileta nyuzi humu ilibeba ujumbe mzito sana izo stori niliwahi kuwa naskia juu juu tu ila nilikuta jamaa kaanika Kila kitu kweny ule uzi ila ina comment anazo kama kumi tu
 
Unazungumzia ubora kweny nin Kuna nyuzi hazivutii Kwa kusoma ila zimebeba ujumbe mkubwa na madini ya kutosha na Kuna nyuzi zinavutia Kwa kusoma ila zinanaburudisha tu na pia usisahau Kuna watu hawashushi nyuzi ila kweny comment wanatema madini kweli kweli zaidi ya nyuzi mim binafsi napima ubora kweny ule ujumbe nao pata kama Kuna jamaa alileta nyuzi humu ilibeba ujumbe mzito sana izo stori niliwahi kuwa naskia juu juu tu ila nilikuta jamaa kaanika Kila kitu kweny ule uzi ila ina comment anazo kama kumi tu
Uzi gani huo
 
Back
Top Bottom